Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 ina maana mshkaji akifika sokon anachagua papai lake zuri la kuvutiaMimi nilikuta papai lenye shimo chini ya kitanda cha mshikaji, Mshikaji alikuwa na tabia ya kununua mapapai kila mara ila alikuwa hali anayaweka tu ndani baada ya muda anayatupa yakiwa na mashimo kwa chini.
Jamaa anazingua sana mtaani, kila baada ya siku 3 lazima atajinunulia mapapai ila kula hali, yeye ni mtu wa kuvuta hisia tu, ukimuona muda wote ni mtu wa tabasamu tu kumbe ana jambo lake na papai akirudi magetoni.🤣🤣 ina maana mshkaji akifika sokon anachagua papai lake zuri la kuvutia
Mshkaj wangu wa olevel geton mwake kulikuwa na vitu vifuatavyoWakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?
Ebu lete kisa chako hapa.
Naanza Mimi......
Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.
Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.
Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?
Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.
Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)
Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.
Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
Huyo akipewa wizara lazima mtubuMshkaj wangu wa olevel geton mwake kulikuwa na vitu vifuatavyo
1. Meza na viti vya skul na majina yake kabisa
2. Lim kama bunda tano hivi na mihuli kabisa ya skul
3. CPU ya computer library ya skul na majina kabisa ya skul, asee yule jamaa alikuwa muhuni sana
Kuna siku aliishiwa unga geto ulikuwa ni msimu wa mahindi mabichi aseee jamaa alikuja magetoni na gunia limekaribia kujaa mahindi sikujua aliyatoa wapi mpaka leo, tulichoma tukala na hatukuuliza aliyatoa wapi
Aiseee!!!Kwenye mto wa kulalia tulikuta chupi ya demu ina mavi fresh kabisa. Yaani washikaji tulikwenda kupiga story na jamaa cha kushangaza chumba chake kilikuwa kinanuka mavi ile mbaya kila tukitafuta hatukuona kitu. Ee bwana eeee, kuja kubinua mto kimba hilo limevirigishiwa chupi ya demu mpaka washikaji tukawa tunajiuliza huyu jamaa analala na chupi ya mavi kwa msingi upi kwamba ana mmiss demu wake na akimkumbuka ndipo ananusa mavi yake au?
Mapapai Huwa yanawasha sana jamaa aliwezaje kustahimili!!🙌🙌Mimi nilikuta papai lenye shimo chini ya kitanda cha mshikaji, Mshikaji alikuwa na tabia ya kununua mapapai kila mara ila alikuwa hali anayaweka tu ndani baada ya muda anayatupa yakiwa na mashimo kwa chini.
Imagine kama ungekuwa na mfua na harufu usisikie ushakunywa Koji Tyr😆😆Nilikuta jamaa amehifadhi mkojo kwenye chupa moja ya chai mkojo una kama wiki, chupa zilikuwa mbili sasa, katika kufungua ili ninywe zangu chai na chapati nikawa nimefungua yenye mkojo, halufu ilinipiga usoni nusu nizime nikatoka🏃🏃🏃
Na hukujua ulifikaje pale geto😹😹Nilikuta mtumbwi kwenye geto la jamaa yangu mmoja hivi.
Kabisa kipindi nilikuwa scout wa shule tukaenda kusaka watoro tukavamia geto la jamaa Ile kuingia tukakuta ule mwiko wa shuleni ule mkubwa kabisa
Hii kweli kabisa.Ndege wafananao.
Ukiona unakutana na vitu usivyovielewa kwa marafiki zako basi hamruki pamoja. Ukijisahau unaweza shangaa unahitajika polisi ukatoe maelezo rafiki yako kaiba mashuka ya hospitali na haonekani alipo.
Huyo mfugaji mkuuNilikuta mbuzi ghetto kwa mshikaji.