Ulikuta Nini kwenye Geto la mshikaji wako ukabaki kujiuliza hiki kilifikaje hapa?

Ulikuta Nini kwenye Geto la mshikaji wako ukabaki kujiuliza hiki kilifikaje hapa?

Enzi hizo tukiwa tunajiandaa kuingia chuo, nilikuta mhuri wa mtendaji wa kata yetu kwenye geto la jamaa.. nikakumbuka jana yake alienda kwenye hizo ofisi ila hakuwakuta wenyewe 😀
 
Wakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?

Ebu lete kisa chako hapa.


Naanza Mimi......

Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.

Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.

Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?

Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.


Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)

Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.

Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haki nimecheka mimi uwii...!!
 
Mm nilimkuta jamaa ana disc za jembe la trekta kama kumi na tano hivi zipo geto mvunguni
 
Mshkaj wangu wa olevel geton mwake kulikuwa na vitu vifuatavyo
1. Meza na viti vya skul na majina yake kabisa
2. Lim kama bunda tano hivi na mihuli kabisa ya skul
3. CPU ya computer library ya skul na majina kabisa ya skul, asee yule jamaa alikuwa muhuni sana

Kuna siku aliishiwa unga geto ulikuwa ni msimu wa mahindi mabichi aseee jamaa alikuja magetoni na gunia limekaribia kujaa mahindi sikujua aliyatoa wapi mpaka leo, tulichoma tukala na hatukuuliza aliyatoa wapi
Mwizi
 
Wakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?

Ebu lete kisa chako hapa.


Naanza Mimi......

Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.

Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.

Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?

Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.


Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)

Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.

Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
Unaendaje gheto kwa msela au wewe wa jinsi tofauti? Msela wanakutana kijiweni au bar
 
Back
Top Bottom