Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haki nimecheka mimi uwii...!!Wakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?
Ebu lete kisa chako hapa.
Naanza Mimi......
Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.
Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.
Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?
Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.
Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)
Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.
Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
🤣🤣Ila jamani..🤦
MwiziMshkaj wangu wa olevel geton mwake kulikuwa na vitu vifuatavyo
1. Meza na viti vya skul na majina yake kabisa
2. Lim kama bunda tano hivi na mihuli kabisa ya skul
3. CPU ya computer library ya skul na majina kabisa ya skul, asee yule jamaa alikuwa muhuni sana
Kuna siku aliishiwa unga geto ulikuwa ni msimu wa mahindi mabichi aseee jamaa alikuja magetoni na gunia limekaribia kujaa mahindi sikujua aliyatoa wapi mpaka leo, tulichoma tukala na hatukuuliza aliyatoa wapi
Unaendaje gheto kwa msela au wewe wa jinsi tofauti? Msela wanakutana kijiweni au barWakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?
Ebu lete kisa chako hapa.
Naanza Mimi......
Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.
Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.
Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?
Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.
Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)
Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.
Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
Ni mwendo wa kupiga spana kila kitu
Mbona kama juu kulia kuna uwazi wanatumiaga kati ya jiko na dining room?? Nigga anaishi jikon au dining room??? 😅😄😄🤣🤣View attachment 3159901
Ghetto la jamaa.
Huo ni uelewa wako mkuu Baki hivyo nasisi tubaki Hivi tulivyo.Unaendaje gheto kwa msela au wewe wa jinsi tofauti? Msela wanakutana kijiweni au bar
Msela Hasomeki aseeMbona kama juu kulia kuna uwazi wanatumiaga kati ya jiko na dining room?? Nigga anaishi jikon au dining room??? 😅😄😄🤣🤣
Hapana yeye bodaboda tu.Huyo mfugaji mkuu
Mpaka leo hii sijapata majibu, na sijawai kumuuliza.Na hukujua ulifikaje pale geto😹😹
Mimi nilihoji kwenye shuka za msd nikaambiwa sijui maisha. Nikasema hapa nisiendelee kudadis nitaharibu.Mpaka leo hii sijapata majibu, na sijawai kumuuliza.
Kabisa ni kukausha tuMimi nilihoji kwenye shuka za msd nikaambiwa sijui maisha. Nikasema hapa nisiendelee kudadis nitaharibu.
Ukweli ukiona kitu kikakushangaza usiulize kaa kimya maliza issues zako tembea
Kumbe na wewe ulikuwa ni mchezo wako, ulijuwaje kama yanawasha?Mapapai Huwa yanawasha sana jamaa aliwezaje kustahimili!!🙌🙌
Mapapai yanawasha sana. ni dawa ya kuku mkuu nayajuaKumbe na wewe ulikuwa ni mchezo wako, ulijuwaje kama yanawasha?
😀😀😀Kuna Binti wa shekhe kamganda Sasa kwa pigo hili treni lazima iachie behewa.