Pluto thnker
Senior Member
- Aug 25, 2024
- 147
- 295
yan acha t ,niliwaz sna alifikilia nin had akapata wazo la kubeba kile kibao had geto kwake!Watu ni vichaaa asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yan acha t ,niliwaz sna alifikilia nin had akapata wazo la kubeba kile kibao had geto kwake!Watu ni vichaaa asee
Sana esee
Alikuwa anafanya kazi hapo hapo baani?Remote ya TV ya Bar ilipotea, kuna siku tunaenda kwa Mshikaji wetu tukaikuta, tulikaa tu kimya.. Tangu siku hiyo hatukumuamini tena!
Unaweza kuwaza labda alitaka kuuza chuma chakavu lkn ukimwangalia alivyo akili inakataayan acha t ,niliwaz sna alifikilia nin had akapata wazo la kubeba kile kibao had geto kwake!
Kwema BroNilikuta ametundika MBUNYE dirishani.
Nilitetemeka mno.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy Lloyd Munroe Extrovert DR Mambo Jambo Mzee wa kupambania
Anaogea aritaMkuu umesema sabuni mi nikauliza unaogaje bila sabuni asee
Safi bro nambieKwema Bro
Yule lazima atakuwa papai.Jamaa sio papai kweli?
Huyo ndo wale, tuma ka namba hii... hahahaMimi nilikuta Beseni limejaa Line za simu,sikuuliza za nini.