Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Nilikuta jeneza asee nikiogopa sana nikaaga nikasepa sikuhoji chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila sabuni ya kipande siogi.Mimi pia nisha sahau sabuni za vipande Sasa Sana Tunatumia SHOWER GELL
Shower to shower.
🤣 🤣 🤣Mkuu,
Utawaletea kesi na jamhuri 😊
😲😲Wakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?
Ebu lete kisa chako hapa.
Naanza Mimi......
Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.
Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.
Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?
Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.
Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)
Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.
Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
Rimonti ya AC ya ofisini ilipoteaga bana, tukaitafuta sana ofisini, na huyo mshakaji wangu nae alikuepo, hatukuipata, ikabidi itafutwe nyingine.Wakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?
Ebu lete kisa chako hapa.
Naanza Mimi......
Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.
Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.
Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?
Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.
Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)
Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.
Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
Kupanga ni kuchagua siku utakayo anza kutumia SHOWER GELL utagundua sabuni za kipande zili kuchelewesha Sanaa 🤣😂🤣😂Bila sabuni ya kipande siogi.
Huyu aliamua awe anabeba kidogo kidogo Hadi akamilisheRimonti ya AC ya ofisini ilipoteaga bana, tukaitafuta sana ofisini, na huyo mshakaji wangu nae alikuepo, hatukuipata, ikabidi itafutwe nyingine.
sasa kuna siku si nikamtimbia mshikaji geto kwake, alikua anaumwa, haloo, si nikaikuta ile remote ya AC ya ofisini geto kwa mshikaji, nae hata AC hana dah!🐒
Mjini akili mkuuNilikutana na matunguri..jamaa kumbe alikua anajifanya ni mganga akawa anapiga watu pesa.
Huyo ni Baltazar EgongaNilikuta bra tatu,box la pedi,vipimo vya mimba
Watu ni vichaaa aseeMe kunamshkaji wang niliend geto kwake nkakuta yupo na vle vibao wanavyotumia wanaolekebisha hz balabal kilichoandikw ..POLEPOLE KAZI MBELE!. alikuwa akiwa na manz anakiwek pal mlangn pake hpo huitaj mt kupga hod!
DaaahNilikuta jeneza asee nikiogopa sana nikaaga nikasepa sikuhoji chochote
Jamaa sio papai kweli?Nilimfumania jamaa akiwa anajifunga Pedi then akavaa chupi Kwa juu then bukta ikafuatia kwa juu, duh nilimshangaa sana.
😂😂😂 AiseeeKorogwe Kwa Kombo maeneo ya Kwa Msisi ya Korogwe sio Handeni. Jamaa alinikaribisha chumba cha kulala. Kitanda cha hospitali. Wala hata hausiki na mambo ya hospitali.
Hujui maisha wwUnapata wapi ujasiri wa kuingia geto la mwanaume..?
😂Nilimkuta Mwamba ana madela 4 geto.