Ulikuwa katika hali gani siku ya harusi?

Ulikuwa katika hali gani siku ya harusi?

Inalipa

Member
Joined
Jun 30, 2022
Posts
63
Reaction score
77
Aisee kwa walioa ama kuolewa wanaifahamu hii siku, inakuwa tamu lakini yenye presha nyingi.

Binafsi siku hii jasho halikuacha kunitoka na hata uchangamfu ulitoweka, lakini ni siku yenye kumbukizi tamu, hasa ukute unayemuoa ama kuolewa naye ni mtu unayemhusudu.

Kwa upande wako ilikuwaje siku hii?

1666596593195.png
 
Haijakuwa ila ninajaribu kuiwaza itakuwaje siku hiyo…lakini ninauhakika nitadance Kwa bashasha mno ooooooo💃💃💃..yani mno aise.natamani bwana harusi nae awe anapenda music.I love music 💘💘💘
 
Haijakuwa ila ninajaribu kuiwaza itakuwaje siku hiyo…lakini ninauhakika nitadance Kwa bashasha mno ooooooo💃💃💃..yani mno aise.natamani bwana harusi nae awe anapenda music.I love music 💘💘💘
Daah miye nilicheza balaa, na ukizingatia marafiki walikuja basi karibia kujaa.Yaaani fuul kwaito hadi wananiuliza vipi leo umetupia wine nini, nawaambia hamna kitu nimeamua tuu kujifaragua.
 
Haijakuwa ila ninajaribu kuiwaza itakuwaje siku hiyo…lakini ninauhakika nitadance Kwa bashasha mno ooooooo[emoji126][emoji126][emoji126]..yani mno aise.natamani bwana harusi nae awe anapenda music.I love music [emoji180][emoji180][emoji180]
Kumbe Chakorii wewe ni msichana, tena ambaye haujaolewa! Nitafanyia kazi
 
Inakuwa nzuri/njema yenye shauku kama ndio unaenda kuishuhudia Ikulu kwa mara ya kwanza
Hivi wapo ambao huwa ndo wanachunguliana kwa siku hiyo,, siku kabla walikuwa wamekaza...
 
Back
Top Bottom