Ulikuwa katika hali gani siku ya harusi?

Ulikuwa katika hali gani siku ya harusi?

Haijakuwa ila ninajaribu kuiwaza itakuwaje siku hiyo…lakini ninauhakika nitadance Kwa bashasha mno ooooooo💃💃💃..yani mno aise.natamani bwana harusi nae awe anapenda music.I love music 💘💘💘
Siku hizi ma- biharusi mnaserebuka mbaya siku ya harusi.

Miaka ya nyuma Bibi harusi alikuwa full-time kuwaza kitakachotokea baada ya sherehe...!
 
Siku hizi ma- biharusi mnaserebuka mbaya siku ya harusi.

Miaka ya nyuma Bibi harusi alikuwa full-time kuwaza kitakachotokea baada ya sherehe...!
Kweli kabisa. Miaka ya Nyuma siku ya harusi unamuona bibi harusi akiwa na mapozi ya upole na ustaarabu unakua grade A. kwenye upande wa kudance wanaachia wenyewe wanafamilia wacheze.
 
Mimi naona furaha inakua kwa mwanamke tuu..maana 90% kwa upande wa mwanaume unapoteza uhuru...wako...[emoji3][emoji3][emoji3]
Vipi mwanamke yeye hapotezi uhuru hata kidogo!?
[emoji28]
 
Nilisafiri siku moja kabla ya siku husika, kufika nimechoka asubuh nikachelewa kuamka.
Nikaingia saloon, nafika home niko nje ya muda ile kuharakishwa nikasahau hata kupiga mtibwa.

Kufika kwenye shughuli njaa inauma balaa napiga miayo mpaka machozi 😂😂, kuongea na bwana shemeji angalau afanye mpango nipoze njaa kabla ya ndoa naona hanitilii maanani ikabidi nivunge tu.

Mpaka shughuli inaisha bwana harusi nilikuwa napiga miayo mbaya mbovu .
 
Kwanino mnatusalito jamano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]si tumekubalina kataa ndoa au??
 
Me nakumbuka nilishushiwa mke kwa basi kutoka kijiji cha 3 jirani baada ya kuwaeleza wazee nataka kuoa sasa. Maisha ya ndoa yakaanzia hapo siku iyo iyo tunaonana.

Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siki hiyo ntakua chakari kabisaa, K vant kubwa kichwani, au Grants size ya katii sitotaka ujinga kabisaa
 
Daah miye nilicheza balaa, na ukizingatia marafiki walikuja basi karibia kujaa.Yaaani fuul kwaito hadi wananiuliza vipi leo umetupia wine nini, nawaambia hamna kitu nimeamua tuu kujifaragua.
Hataree
 
A day to remember, nilikua na pilika nyingi mnoo lkn hatimae nikatulia, nikapiga joho langu jeusi na kanzu mafta nyeupe huyoo kuoa, na kesho yake reception ya kishua iso na watu wengi, nikaoa mke wa ujana wangu, rafiki na mshkaji wangu. Daah raha sana kwakweli, miaka ishakata 4 sasa vidume kanizalia viwili.
 
Back
Top Bottom