Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
- Thread starter
- #41
Kipepe ni jarida?Sani
Mwanasport
Kipepe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipepe ni jarida?Sani
Mwanasport
Kipepe
Sani alikuwa anawachora wadada wana mashepu wakina anty soni hatari.....msambwandaa huoooGazeti la Sani
Alasiri na dar leoHabarini wakuu!
Hakika miaka inakwenda. Miaka ya nyuma, magazeti yalikuwa na mvuto sana kuanzia front pages hadi ndani. Yalikuwepo magazeti mengi sana ila Binafsi nilikuwa mpenzi wa magazeti ya Sani na Kiu.
Hao jamaa walikuwa wabunifu sana, kurasa za mbele zilipambwa kwa picha nzuri za mastaa na vichwa vya habari vyenye kuibua hisia sana. Picha za warembo wenye maumbile mazuri na muhtasari wa habari zilizomo ndani yake. Raha ya haya magazeti ilikuwa ni zaidi hata ya kumiliki smartphones siku hizi ambazo ni kama zinaleta depression tu kwa watu. Enzi hizo hakukuwa na mambo ya kuwaza sijui fulani hajaview status yangu, mbona hajanipost, sijui kaniblock na mambo kama hizo
Kulikuwa na simulizi zilizotungwa kwa imahiri, zinazokuachia kiu ya kutaka kufatilia toleo lijalo bila kukosa. Pia kulikuwa na katuni kama vile Lodilofa, Kipepe, Kifimbo Cheza, Madenge, Baba ubaya na nyingine nyingi. Hakika ilikuwa zaidi ya burudani.
Leo nimepita ukurasa fulani nikakutana na picha za katuni za enzi hizo nikapata kurejesha kumbukumbu nyuma sana jinsi burudani hizo zilivyoweza kukonga nyoyo zetu. Hiyo ni kwa ufupi tu.
Wewe unakumbuka nini kuhusu magazeti ya enzi hizo?
na kuna vile vijarida vya shujaaz magari ya coca cola yalikuwa yakileta soda shule
Hivi vilikuwa vizuri sanana kuna vile vijarida vya shujaaz magari ya coca cola yalikuwa yakileta soda shule yanakuja navyo vingi
View attachment 3219722
Tabasamu ni copy ya sani, mzee ole obi na lindaHilo ni jarida,
Nilkua napenda Tabasam
Lakini pia magazeti niliwa nalikuqbli Sanifu lilikuwa ni prefesional gazeti la udaku
Lilikuwa na vituko vingi sanaKingo, Ambha NK.
Wewe haujui magazeti jinsi yalivyo! Ni wazi haukuwa msomaji wa magazeti wala msikilizaji wa habari kwenye redio.Habarini wakuu!
Hakika miaka inakwenda. Miaka ya nyuma, magazeti yalikuwa na mvuto sana kuanzia front pages hadi ndani. Yalikuwepo magazeti mengi sana ila Binafsi nilikuwa mpenzi wa magazeti ya Sani na Kiu.
Hao jamaa walikuwa wabunifu sana, kurasa za mbele zilipambwa kwa picha nzuri za mastaa na vichwa vya habari vyenye kuibua hisia sana. Picha za warembo wenye maumbile mazuri na muhtasari wa habari zilizomo ndani yake. Raha ya haya magazeti ilikuwa ni zaidi hata ya kumiliki smartphones siku hizi ambazo ni kama zinaleta depression tu kwa watu. Enzi hizo hakukuwa na mambo ya kuwaza sijui fulani hajaview status yangu, mbona hajanipost, sijui kaniblock na mambo kama hizo
Kulikuwa na simulizi zilizotungwa kwa imahiri, zinazokuachia kiu ya kutaka kufatilia toleo lijalo bila kukosa. Pia kulikuwa na katuni kama vile Lodilofa, Kipepe, Kifimbo Cheza, Madenge, Baba ubaya na nyingine nyingi. Hakika ilikuwa zaidi ya burudani.
Leo nimepita ukurasa fulani nikakutana na picha za katuni za enzi hizo nikapata kurejesha kumbukumbu nyuma sana jinsi burudani hizo zilivyoweza kukonga nyoyo zetu. Hiyo ni kwa ufupi tu.
Wewe unakumbuka nini kuhusu magazeti ya enzi hizo?
Sawa mzee lufunyoWewe haujui magazeti jinsi yalivyo! Ni wazi haukuwa msomaji wa magazeti wala msikilizaji wa habari kwenye redio.