Hamna Lecturer anaelipwa laki 4.5 gross salary ila mwalimu yupo πNa zaidi plus part time jobs
Kaka iyo ni per diem tu kwa lectureπ ,walimu Wana hali ngumu mnoHamna Lecturer anaelipwa laki 4.5 gross salary ila mwalimu yupo π
HahahahahahKaka iyo ni per diem tu kwa lectureπ ,walimu Wana hali ngumu mno
πππDogo maliza kwanza shule ndio utajua furaha inapatikanaje.
Naiishi kwenye chaguo langu la 3 maana vikwazo vya machaguo ya kwanza. Aaaaaahππ€£Alhamisi inaendaje wakuu?
Tukiwa watoto kuna hili swali huwa tunaulizwa shuleni au hata nyumbani tu, "Fulani ukiwa mkubwa unataka kuwa nani?" Wengine huwa na majibu ya kazi nzuri nzuri na wengine majibu huwaacha hoi wanaosikiliza majibu yao.
Mimi nilikuwa na ndoto za kuwa Daktari, lakini baada ya hesabu na masomo mengine ya sayansi kunipiga roba ya mbao ya hatari nikaachana na ndoto hiyo, sasa nafanya kitu tofauti kabisa na ndoto niliyokuwa nayo.
Wewe ulikuwa na ndoto ya kuwa nani ukiwa mkubwa? Umeiishi ndoto yako au mambo yalikuwa meusi ukafanya mambo mengine?
Kna ajira na fursa elewa hilo so, fursa zipo nyingi kuliko ajiraNikiwa, darasa la saba, siku ya mtoto wa, Afrika, sherehe ilifanyika UDSM, Nkrumah, nilivutiwa na nikasema, lqzima nifike chuo, nikiwa, form one, nikasema, lazima niwe engineer, nilipokuwa chuo, nikasema, nataka kuwa engineer lakini ndani ya, jwtz!
Siku, nimeenda kufatilia nafasi, pale jkt karibu na kawe, kwanza mapokezi, wakaniuliza, kabila langu! Nikawauliza kabila LA nini? Wakasema litanisaidia, kupata, kazi, kiurahisi,nikapiga chini, nimejaribu Mara nne nafasi ya jeshi, natoswa!
Nikarudi, chuo, ongeza, elimu, niwe muhandisi, nafurahi nimefanikiwa kuwa muhandisi,
Ila bongo fulsa ni chache,kuna watu wana uwezo, makubwa, lakini hawa patients nafasi