Ulikuwa na ndoto za kuwa nani utakapokuwa mkubwa? Umeiishi ndoto yako au maisha yamekupeleka kwingine?

Nilitamani kuwa mwandishi Wa habari Leo nimekuwa Mchungaji.. Bado namshukuru Mungu maana naandika na kureport habari za Yesu.. ndoto imetimia na kuzidi.
 
From ERB to NBAA.

God is good all the time,all the time God is good.
 
Primary nlikuwa na ndoto za kuwa mwanajeshi, secondary nikataman kuwa daktari, baada ya form 4 nkaenda art na huko nkabadilisha ndoto na kuwa HR na asaiv naendelea na ndoto yangu japo nataman kuwa HR na mhadhiri wa chuo
 
Nilikuwa na ndoto ya kuwa rubani ila saivi Nina ndoto ya kuwa billionaire tu
 
Naiishi kwenye chaguo langu la 3 maana vikwazo vya machaguo ya kwanza. AaaaaahπŸ˜‚πŸ€£
 
Kna ajira na fursa elewa hilo so, fursa zipo nyingi kuliko ajira
 
Kutoka ndoto za kuwa mwanajeshi mpaka mgambo wa jiji. Sio mbaya kivile
 
Baada ya kusoma comments za watu humu leo nimeamini msemo wa jitihada haizidi kudra..

Maisha ya kila mtu yalishapangwa ata kabla hujaja duniani tunakuja kutimiza tu au kukamilisha kile ambacho tunapaswa kufanya basi.
 
Ndoto yangu imekuwaga kuwa Mwanajeshi since primary, mpaka leo nimemaliza Chuo kikuu haijatimia bado lakini naamini itatimia with God's grace..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…