Asante sana mkuu kwa kunifungua macho kuhusu historia ya Chadema. Endelea kumalizia kuangalia House of Cards
Angalia "Being MaryJane" on BET kila jumanne na jumatano. Nimeichungulia online. iko poa sana mkuu. Tatizo huku Kibera hatuipati"House of Cards"
nishamaliza tangu Jumapili, next ni "Orange Is The New Black"June kukiwa uzima.
In the meantime tunaangalia some classics katika " Downton Abbey"
But I would really like to get a hold , of the entire "Isidingo" .
I will check it out on Amazon.
Angalia "Being MaryJane" on BET kila jumanne na jumatano. Nimeichungulia online. iko poa sana mkuu. Tatizo huku Kibera hatuipati
hey usitafuta kuunyogorota ulimi bure ,endelea kulitumia kimaandishi tu!mi nilivyolisoma tu ulimi wangu umejificha wenyewe!Haki ya mungu tena naomba msaada kwenye tuta! Yaani kila nikijaribu kutamka hilo jina tangu enzi za Rich, nashindwa! Hivi ni Bezu...what? Anayeweza kuweka pronoanciation ya hilo jina?! Dinazarde, kweli ni binamy yako? Nisaidie basi hilo jina manake mnh!
she hot!
tru dat!.....kuhongwa siyo kesi sana kwani hata linda naye anahongwa ila uzuri na ujanja wake ni jinsi anavyoisafisha ile hela aliyohongwa kuwa safi!ni kama wauza unga wengine walivyo smart kusafisha pesa zao kwa kufanya biashara zingine!.......siyo kama vicheche wengine ambao hao ndo wamejitoa mazima wanasubiri kuhongwa hata akili ya kufanya million izae jiwe hawana!