Ulikuwa unatembea kilomita ngapi kwenda shuleni? Nilikuwa natembea hizi

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Leo nimepima umbali niliokuwa natembea kwenda shuleni sekondari kila siku. Kilomita tano! Kwenda na kurudi 10km.

Mara nyingine nilikuwa napanda gari kwenye 2km. so kila siku kulikuwa na uhakika wa kutembea 6km. Nilikuwaga na pumzi sana.

 
Kilichokufanya ufiche jina la shule nini? Kwani ulikuwa mwanafunzi pekee?
 
Mbona kawaida tu, kilometa 10 ni saa moja na robo hadi nusu,
Ubungo kivukoni hio
 
Mwembe to Bangalala kila siku kwenda nakurudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…