Ulikuwa wapi hawa jamaa wakiwa kwenye peak?

Ulikuwa wapi hawa jamaa wakiwa kwenye peak?

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,156
Reaction score
1,667
[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
[Chorus: Prof.Jay]
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usikwepe umande {Dj scratching}
Okoa Sanaa ya Bongo’ ili uchumi upande
Ni mtazamo-zamo, Mc' usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc' usikwepe umande
Ni Ulamaa, Professa Jay, Afande

[Verse 2: Prof Jay]
Ni mtazamo
Rap inakuwa ni mikingamo
Sasa watoto wadogo
Wanajiita watu wa makamo
Wanakwenda hatua mbili, wanarudi kumi na kujipongeza
Bila kuzingatia hatua nane walizopotеza
Hao ni mafukara wa akili zao’ na uwezo wao
Wasio tambua nini na nini ni hatma zao
Ma-gwiji vichwa chini, nadhani wanatunga sheria
Lakini sheria msumеno’ isije ikawarudia
Yes! Ma- underground wanafanya Rap inang’ara
Lazima muwe vinara’ kwenye msafara
Rap na mazingaombwe
Habadani! Haviendani!
Msitegemee …“Tawiree!” iwaokoe katika fani
Ni vyema ukafikiri kabla ya kufanya maamuzi
Tazama mbele’ usije ukanywa chai kwa mluzi {Whistling}
Na amini Askari shupavu ni lazima upitie Depo’
Vinginevyo ndugu yangu utakuwa’ unapaka rangi upepo
Kama unapata moja, kwanini usipate na mia?
Hiyo inawezekana’ kwa wote mlio na nia
Sioni sababu za msingi’ kuomba kwenye mitaa
Kama una kipaji’ iweje ufe na njaa?
 
Nilikuwa kijijini kusikiliza show time RFA hadi niibe redio ya mzee akiwa ameenda wilayani kwenye semina😀😀.
Sema Solo alikuwa mkali sana. Alikujaga na ngoma moja baada ya kukosa tuzo ya mfalme wa rymes. Ililkuwa na vina vya kikatili sana
 
Usimtukane mkuu huyu demu yupo sahihi,Mtu kataja jina lake tena kwa herufi moja moja na kirefu chake bado unasema ni Jay Mo kweli?
Huyo unayemtetea angekua ana akili angejua kwamba kila mtu ana uelewa wake. Kuna vitu anajua mimi sivijui na kuna vitu ninajua yeye hajui.

Moja ya kitu ambacho nilikua sijui ni kua Tanzania kuna msanii wa kuitwa Solo Thang. Nimemjua mwaka jana
 
[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
[Chorus: Prof.Jay]
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usikwepe umande {Dj scratching}
Okoa Sanaa ya Bongo’ ili uchumi upande
Ni mtazamo-zamo, Mc' usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc' usikwepe umande
Ni Ulamaa, Professa Jay, Afande

[Verse 2: Prof Jay]
Ni mtazamo
Rap inakuwa ni mikingamo
Sasa watoto wadogo
Wanajiita watu wa makamo
Wanakwenda hatua mbili, wanarudi kumi na kujipongeza
Bila kuzingatia hatua nane walizopotеza
Hao ni mafukara wa akili zao’ na uwezo wao
Wasio tambua nini na nini ni hatma zao
Ma-gwiji vichwa chini, nadhani wanatunga sheria
Lakini sheria msumеno’ isije ikawarudia
Yes! Ma- underground wanafanya Rap inang’ara
Lazima muwe vinara’ kwenye msafara
Rap na mazingaombwe
Habadani! Haviendani!
Msitegemee …“Tawiree!” iwaokoe katika fani
Ni vyema ukafikiri kabla ya kufanya maamuzi
Tazama mbele’ usije ukanywa chai kwa mluzi {Whistling}
Na amini Askari shupavu ni lazima upitie Depo’
Vinginevyo ndugu yangu utakuwa’ unapaka rangi upepo
Kama unapata moja, kwanini usipate na mia?
Hiyo inawezekana’ kwa wote mlio na nia
Sioni sababu za msingi’ kuomba kwenye mitaa
Kama una kipaji’ iweje ufe na njaa?
Weka Verse ya Afande basi,
Anakwambia

"Ahsante Prof Jay, Majani na Ulamaa,
Mmegusa nilipopataka,
Nami kwenye mtazamo nina jambo nataka kuweka,
Maana kila kukicha Mcs wanaongezeka,
Nasema very nice, yes rap kama dhehebu, Mcs kama wafuasi......"

Nilikua homeboy K'nyama moja hiyo, navikusanya vitoto naviimbia, nilikua mkali wa kukariri nyimbo zikitoka bila hata kujua maana ili mradi niwaimbie watoto afu najikuta superstar [emoji1]

Bro wangu alikua ana studio ya kizushi, dah maisha haya sasa hivi anapigiwa saluti somewhere [emoji119]
 
Huyo unayemtetea angekua ana akili angejua kwamba kila mtu ana uelewa wake. Kuna vitu anajua mimi sivijui na kuna vitu ninajua yeye hajui.

Moja ya kitu ambacho nilikua sijui ni kua Tanzania kuna msanii wa kuitwa Solo Thang. Nimemjua mwaka jana
Kwa hiyo hukujua kama kuna msanii anaitwa Solo Thang ila ulijua huo wimbo kaimba Jay Moe licha ya kutajwa jina la Solo Thang halafu ukiitwa Kiazi unapaniki [emoji1787]
 
Weka Verse ya Afande basi,
Anakwambia

"Ahsante Prof Jay, Majani na Ulamaa,
Mmegusa nilipopataka,
Nami kwenye mtazamo nina jambo nataka kuweka,
Maana kila kukicha Mcs wanaongezeka,
Nasema very nice, yes rap kama dhehebu, Mcs kama wafuasi......"

Nilikua homeboy K'nyama moja hiyo, navikusanya vitoto naviimbia, nilikua mkali wa kukariri nyimbo zikitoka bila hata kujua maana ili mradi niwaimbie watoto afu najikuta superstar [emoji1]

Bro wangu alikua ana studio ya kizushi, dah maisha haya sasa hivi anapigiwa saluti somewhere [emoji119]
Hapo juu kuna mkuu kamjibu mdau kwamba huyu demu akimanisha wewe ni jinsi ya ke, na hapa unajitaja kama me, sijui mnawaza nini kuweka picha za kike na nyie ni wanaume? Ila samahani Mkuu
 
Back
Top Bottom