dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Kilio Changu auIlilkuwa na vina vya kikatili sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilio Changu auIlilkuwa na vina vya kikatili sana
[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
[Chorus: Prof.Jay]
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usikwepe umande {Dj scratching}
Okoa Sanaa ya Bongo’ ili uchumi upande
Ni mtazamo-zamo, Mc' usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc' usikwepe umande
Ni Ulamaa, Professa Jay, Afande
[Verse 2: Prof Jay]
Ni mtazamo
Rap inakuwa ni mikingamo
Sasa watoto wadogo
Wanajiita watu wa makamo
Wanakwenda hatua mbili, wanarudi kumi na kujipongeza
Bila kuzingatia hatua nane walizopotеza
Hao ni mafukara wa akili zao’ na uwezo wao
Wasio tambua nini na nini ni hatma zao
Ma-gwiji vichwa chini, nadhani wanatunga sheria
Lakini sheria msumеno’ isije ikawarudia
Yes! Ma- underground wanafanya Rap inang’ara
Lazima muwe vinara’ kwenye msafara
Rap na mazingaombwe
Habadani! Haviendani!
Msitegemee …“Tawiree!” iwaokoe katika fani
Ni vyema ukafikiri kabla ya kufanya maamuzi
Tazama mbele’ usije ukanywa chai kwa mluzi {Whistling}
Na amini Askari shupavu ni lazima upitie Depo’
Vinginevyo ndugu yangu utakuwa’ unapaka rangi upepo
Kama unapata moja, kwanini usipate na mia?
Hiyo inawezekana’ kwa wote mlio na nia
Sioni sababu za msingi’ kuomba kwenye mitaa
Kama una kipaji’ iweje ufe na njaa
Kudos mwana umenikumbusha mbali sn[emoji106][Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
[Chorus: Prof.Jay]
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc’ usikwepe umande {Dj scratching}
Okoa Sanaa ya Bongo’ ili uchumi upande
Ni mtazamo-zamo, Mc' usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mc' usikwepe umande
Ni Ulamaa, Professa Jay, Afande
[Verse 2: Prof Jay]
Ni mtazamo
Rap inakuwa ni mikingamo
Sasa watoto wadogo
Wanajiita watu wa makamo
Wanakwenda hatua mbili, wanarudi kumi na kujipongeza
Bila kuzingatia hatua nane walizopotеza
Hao ni mafukara wa akili zao’ na uwezo wao
Wasio tambua nini na nini ni hatma zao
Ma-gwiji vichwa chini, nadhani wanatunga sheria
Lakini sheria msumеno’ isije ikawarudia
Yes! Ma- underground wanafanya Rap inang’ara
Lazima muwe vinara’ kwenye msafara
Rap na mazingaombwe
Habadani! Haviendani!
Msitegemee …“Tawiree!” iwaokoe katika fani
Ni vyema ukafikiri kabla ya kufanya maamuzi
Tazama mbele’ usije ukanywa chai kwa mluzi {Whistling}
Na amini Askari shupavu ni lazima upitie Depo’
Vinginevyo ndugu yangu utakuwa’ unapaka rangi upepo
Kama unapata moja, kwanini usipate na mia?
Hiyo inawezekana’ kwa wote mlio na nia
Sioni sababu za msingi’ kuomba kwenye mitaa
Kama una kipaji’ iweje ufe na njaa?
Na ngoma ya Darubini kaliAkabeba Afande Sele
Wakati huo kapanga home moro town within a week mzee akamtimua maana bange ndo zilizidishwa kuvutwaAkabeba Afande Sele
Ule wimbo hadi kesho hautoki kwenye playlist yangu,Nilikuwa kijijini kusikiliza show time RFA hadi niibe redio ya mzee akiwa ameenda wilayani kwenye semina[emoji3][emoji3].
Sema Solo alikuwa mkali sana. Alikujaga na ngoma moja baada ya kukosa tuzo ya mfalme wa rymes. Ililkuwa na vina vya kikatili sana
Nikisema uzushi nakosea..Wakati huo kapanga home moro town within a week mzee akamtimua maana bange ndo zilizidishwa kuvutwa
Weeeh! Hahaha Afande na Bangi tena,Wakati huo kapanga home moro town within a week mzee akamtimua maana bange ndo zilizidishwa kuvutwa
Ewaa, kwenye Darubini Kali aliupiga mwingi sana mule,Na ngoma ya Darubini kali
Unaimbwa ivi...Nilikuwa kijijini kusikiliza show time RFA hadi niibe redio ya mzee akiwa ameenda wilayani kwenye semina😀😀.
Sema Solo alikuwa mkali sana. Alikujaga na ngoma moja baada ya kukosa tuzo ya mfalme wa rymes. Ililkuwa na vina vya kikatili sana
Sasa niseme uongo utanilipa?Nikisema uzushi nakosea..
Sama mkuu punguza makasiriko 😀Sasa niseme uongo utanilipa?
Kama ni ndugu yako mtajie unamjua jerry na hujawahi kupanga kwao mtaa wa karume ccm mjini?
Yeah hana shida ila bange anavuta japo mara ya kwanza walikuwa wanalivuta huku wanawasha udi au pafyum,sema baada ya kushinda sasa wenzake ndo wakazid kuwa wanakuja na kuzivuta wazi waziWeeeh! Hahaha Afande na Bangi tena,
Sema mtu poa sana Baba Tunda
Hujakosea kumbukumbu bado ipo,Unaimbwa ivi...
Ndugu zangu... ndugu zangu mm mwenzenu Nina gundu.,.basi nipunguzeni machungu.....basi nunueni nyimbo zangu........
Nakumbuka baadhi ya hayo maneno......
Watu pori mkuu nakuelewaa ....albamu nilinunua buku jero baada ya kuuza Sungura wangu🤓🤓Yeah hana shida ila bange anavuta japo mara ya kwanza walikuwa wanalivuta huku wanawasha udi au pafyum,sema baada ya kushinda sasa wenzake ndo wakazid kuwa wanakuja na kuzivuta wazi wazi
Na hata kundi lao la ghetto boyz lilianzishwa akiwa kwetu
Duh we jamaa utakua sio mtu wa hip hop kabisaIlinichukua muda mrefu kujua huyo ni Solo Thang na sio Jay Moe. Mwaka jana tu hapo😅
Dah,me nimekaa knyama karibu na kwa jafarai,mdogo wake alikuwa mwanangu sanaWeka Verse ya Afande basi,
Anakwambia
"Ahsante Prof Jay, Majani na Ulamaa,
Mmegusa nilipopataka,
Nami kwenye mtazamo nina jambo nataka kuweka,
Maana kila kukicha Mcs wanaongezeka,
Nasema very nice, yes rap kama dhehebu, Mcs kama wafuasi......"
Nilikua homeboy K'nyama moja hiyo, navikusanya vitoto naviimbia, nilikua mkali wa kukariri nyimbo zikitoka bila hata kujua maana ili mradi niwaimbie watoto afu najikuta superstar [emoji1]
Bro wangu alikua ana studio ya kizushi, dah maisha haya sasa hivi anapigiwa saluti somewhere [emoji119]
Akabeba Afande Sele
Saa kipind kile radio ilikuwa hadi uamishe upande wa Am upeleke Fm ndo uikute radio freeNilikuwa kijijini kusikiliza show time RFA hadi niibe redio ya mzee akiwa ameenda wilayani kwenye semina[emoji3][emoji3].
Sema Solo alikuwa mkali sana. Alikujaga na ngoma moja baada ya kukosa tuzo ya mfalme wa rymes. Ililkuwa na vina vya kikatili sana