Ulikuwa wapi hawa jamaa wakiwa kwenye peak?

Nd
 
Kudos mwana umenikumbusha mbali sn[emoji106]
 
Ule wimbo hadi kesho hautoki kwenye playlist yangu,
Kilio changu,

Halafu kuna huu wa Solo ana Mpenzi chorus aliisimamia Mr. Paul

Ukija kwenye Mambo ya Pwani kuanzia Og hadi Remix ni kwikwi kuna kisauti cha Nature kinapita pale
 
Unaimbwa ivi...
Ndugu zangu... ndugu zangu mm mwenzenu Nina gundu.,.basi nipunguzeni machungu.....basi nunueni nyimbo zangu........

Nakumbuka baadhi ya hayo maneno......
 
Weeeh! Hahaha Afande na Bangi tena,
Sema mtu poa sana Baba Tunda
Yeah hana shida ila bange anavuta japo mara ya kwanza walikuwa wanalivuta huku wanawasha udi au pafyum,sema baada ya kushinda sasa wenzake ndo wakazid kuwa wanakuja na kuzivuta wazi wazi

Na hata kundi lao la ghetto boyz lilianzishwa akiwa kwetu
 
Unaimbwa ivi...
Ndugu zangu... ndugu zangu mm mwenzenu Nina gundu.,.basi nipunguzeni machungu.....basi nunueni nyimbo zangu........

Nakumbuka baadhi ya hayo maneno......
Hujakosea kumbukumbu bado ipo,

"Ndugu zangu, ndugu zangu, ndugu zangu,
Hiki ni kilio changu, me mwenzenu nina gundu,
Nifanye nini ili nitoke kwenye ukungu,
Nipunguzeni machungu, baasi, nunueni kanda zangu"
 
Yeah hana shida ila bange anavuta japo mara ya kwanza walikuwa wanalivuta huku wanawasha udi au pafyum,sema baada ya kushinda sasa wenzake ndo wakazid kuwa wanakuja na kuzivuta wazi wazi

Na hata kundi lao la ghetto boyz lilianzishwa akiwa kwetu
Watu pori mkuu nakuelewaa ....albamu nilinunua buku jero baada ya kuuza Sungura wangu🤓🤓
 
Dah,me nimekaa knyama karibu na kwa jafarai,mdogo wake alikuwa mwanangu sana
 
Saa kipind kile radio ilikuwa hadi uamishe upande wa Am upeleke Fm ndo uikute radio free
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…