Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Christian abbiat gk
Ciro ferrara
Paolo maldin
Demitri albetini
Canavaro
Paolo negro
Angelo Di livio
Antonio Conte
Inzhagi
Del piero
Gianluca pessotto
Toldo
Nesta
Luigi Di biagio
Mark luliano
Ambrossini
Zambrotta
Fiore
Montella
Totti
Delvicchio
Antonioli
Kikosi kamili cha wajukuu wa mussollin mwaka 2000
Diego fuser Dino baggio na geuseppe pancora na mtu mkubwa Vieri ambae alivunja mwiko wa makocha kutochukua mshambuliaji anae cheza nje ya Italy haikuwa sheria ila makocha wengi walikuwa waumini wa washambuliaji wanaocheza nyumbani aliumia so katika kundi la watu 26 alikuwepo kisha majeraha yakamtoa .Mtu mwingine alie toka ni gigi buffon yeye alikuwa miongoni mwa 22 ila mchezo wa kirafiki na Norway ukamtoa na nafasi kuzibwa na nyanda wa AC Milan abbiat.Mbona Hapo Sijamuona Yule Jamaa Ambaye Half ni Mtaliano and Half ni Mfaransa King Christian Viery???
Nusu hiyo makosa yanafanywa na beki abel xavier alikuwa anatia dawa nywele zake na ndevu pia dakika ya 117 likawa tuta nani anaenda kupiga si mwingine ila ni YAZID basi luis figo akaona hakuna haja ya kuendelea kubaki uwanjani mpira umekwisha tena huo na ikawa kama alivyotabiri.Ufaransa hiyo kwenye nusu fainali au robo fainali hivi walikutana na Ureno ya Luis Figo, dakika za lala salama Ufaransa wanapata penati na ilienda kupigwa na Zidane, basi wakati Zidane anaenda kupiga penati, Figo akavua jezi yake na kutoka nje ya uwanja maana alijua Zidane hawezi kosa na lazma akipata watakuwa washatoka kwenye mashindano.
Kuna mtu umemsahau, Bernard Lama...golikipa wa akiba.Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita. Pata picha jinsi Ufaransa hii ilivyosheheni katika michuano ya Euro 2000.
1.Barthez
2.Lilian Thuram
3.Bixente Lizarazu
4.Laurent Blanc
5.Marcel Desailly
6.Patrick Viera
7.Robert Pires
8.Youri Djokaeff
9.Thiery Henry
10.Zinedine Zidane
11.Sylvan Wiltord
Sub:
David Trezguet
Christoph Dugarry
Patrick Karembeu
Emmanuel Petit
Frank Libouf
Hapo captain Didier Deschamps alishastaafu.
Hakika sidhani kama Wafaransa watakuja kupata kikosi mahiri kama hiki, timu ilienea haswa! Hapo Fainali Italy anakufa kwa goli la dhahabu, Nyakati zimekwenda wapi? Ulikuwa wapi wakati kikosi hiki cha Les Bleus kikitikisa Ulaya na Dunia nzima?
Diego fuser Dino baggio na geuseppe pancora na mtu mkubwa Vieri ambae alivunja mwiko wa makocha kutochukua mshambuliaji anae cheza nje ya Italy haikuwa sheria ila makocha wengi walikuwa waumini wa washambuliaji wanaocheza nyumbani aliumia so katika kundi la watu 26 alikuwepo kisha majeraha yakamtoa .Mtu mwingine alie toka ni gigi buffon yeye alikuwa miongoni mwa 22 ila mchezo wa kirafiki na Norway ukamtoa na nafasi kuzibwa na nyanda wa AC Milan abbiat.
Nilikuwa namwelewa sana huyu goal poacherTrezeguet's golden moment
Ni kweli mkuu, Dino Zoff alitamba wakati Italy ikibeba ndoo ya Dunia pale Espana (Spain) mwaka 1982 chino ya Mshambuliaji matata wa kipindi hiko Paolo Rossi.Pia tukumbuke Italy imejionyesha siku nyingi kuwa na walinda mlango wazuri toka kwa Dino Zoff chuma hiki miaka ya 80 na alichukua mwali pale Mexico kisha wakaja wadogo zake kama Walter zenga miaka ya 90 baadae ndio wakaibuka kina Angelo peruzzi na Gianluca pagriuca walikuwa wapinzani kweli kabla ya kumuachia mikoba Toldo ambae akaja kuikabidhi kwa gigi.
Abel Xavier alikipiga hadi Liverpool ya akina Titi Camara, Henchoz, Sammy Hyppia.Nusu hiyo makosa yanafanywa na beki abel xavier alikuwa anatia dawa nywele zake na ndevu pia dakika ya 117 likawa tuta nani anaenda kupiga si mwingine ila ni YAZID basi luis figo akaona hakuna haja ya kuendelea kubaki uwanjani mpira umekwisha tena huo na ikawa kama alivyotabiri.
Hakusema mechi ya fainali, anasema kuelekea kwenye michuano hiyo, Buffon aliumia nafasi ikajazwa na Abbiati.Mkuu hapa umesahau Kidogo! Katika Mechi Hii Kipa Hakuwa Chrisrian Abbiati!!! Bali Alikuwa ni Francesco Toldo ambaye walimuumiza mpaka akawa anacheza Game hii akiwa anatoka Damu za Pua huku akiwakatili France Michomo Mikali Waliyokua Wakimpigia...
List Ya Italy ilikua Kama ifuatavyo:-
Francesco Toldo (GK)
Paolo Maldini (C)
Demetrio Albertini
Fabio Cannavaro
Gianluca Pessotto
Alessandro Nesta
Luigi Di Biagio
Mark Iuliano
Stefano Fiore
Francesco Totti (Man of The Match)
Pamoja sana nyuzi kama hizi zinatukumbusha waqt ule mzuri.Abel Xavier alikipiga hadi Liverpool ya akina Titi Camara, Henchoz, Sammy Hyppia.
Yap ilikuwa ni nusu fainali halafu extra time. Asante kwa kunikumbusha!
Shukran kwa masahihisho 82 ilikuwa Spain na sio Mexico ambayo ilikuwa world cup iliyofuatia yaah paulo rossi alikuwa matata sana.Ni kweli mkuu, Dino Zoff alitamba wakati Italy ikibeba ndoo ya Dunia pale Espana (Spain) mwaka 1982 chino ya Mshambuliaji matata wa kipindi hiko Paolo Rossi.
Pia kuna beki aliyeitwa Claudio Gentile ambaye alisifika kwa man marking dhidi ya washambuliaji hatari waliokutana na Italy.
Kuna mlinda mlango anaitwa Sirigu alikuja vizuri kumchallenge Buffon ila siku hizi amepotea sana!
Marhaba kwema brother? karibu upate vizuri vya zamanikwanza kabla ya yote, Shikamooni kaka zangu!
Mkuu ile penati ilikuwa na utata,namkumbuka beki kisiki xzavier,baadaye alikuja kucheza liverpool lkn hakufanikiwa sana hapoUfaransa hiyo kwenye nusu fainali au robo fainali hivi walikutana na Ureno ya Luis Figo, dakika za lala salama Ufaransa wanapata penati na ilienda kupigwa na Zidane, basi wakati Zidane anaenda kupiga penati, Figo akavua jezi yake na kutoka nje ya uwanja maana alijua Zidane hawezi kosa na lazma akipata watakuwa washatoka kwenye mashindano.
Umemuelewesha vyema kabisa mdau mwenzetu kuhusu safari ya buffon ilipoishia.Hakusema mechi ya fainali, anasema kuelekea kwenye michuano hiyo, Buffon aliumia nafasi ikajazwa na Abbiati.