Ulikuwa wapi wakati Ufaransa hii inaitoa nishai Italy Euro 2000

Ulikuwa wapi wakati Ufaransa hii inaitoa nishai Italy Euro 2000

Nilikuwa barnaba Niko likizo baada ya kufunga shule, siku hiyo nimetoka zangu kucheza fainali ya kombe la kuku tumepigwa 6-1 na jamaa Fulani walikuwa wanajiita BLACK MAMBAZ wakachukua jogoo wao halafu wakatufurumusha na mawe maana yalikuwa ni madingi na ligi ilichezewa mtaani kwao.

Kwanza sikula kabisa usiku, ukichanganya maumivu ya kukosa kuku na ule mzuka wa kusubiria game hamu ya kula itoke wapi, akili yangu ilikuwa inawaza kumuona TH14 akitupia tu basi.

Siku hiyo Zidane alikuwa haoni pakupitisha mipira aliwekwa kwenye giza la catenacio kila akigeuka akiangalia mbele anamuona canavaro na nesta sio henry wala djokerf.

Mpaka dakika 91 baada ya mpira kuanza nawaona wataliano wakijiandaa kushangilia ubingwa wameshajifunga na bendera zao viunoni, nikajua tayari ngoma imelala na pia muda huo Italia alikuwa ametolewa na France world cup iliyopita kwenye robo fainali hivyo ilikuwa ni mechi ya kisasi.

Sekunde 28 za mwisho wataliano hawawezi kuzisahau kamwe katika maisha yao baada ya trezguet kuwavurugia sherehe, dakika tatu baada ya extra time wiltord ana wauwa wataliano kwa goli la dhahabu na mpira unaisha ufaransa anaweka record ya kuchukua euro na WC ndani ya miaka miwili.

Nikiwa kama shabiki mkubwa wa ufaransa naomba sana FIFA waturudishie tena goli la dhahabu, hili dunia iendelee kuona maajabu yalikuwa yanafanywa na ufaransa kipindi hicho
Lazarazu, hunishindi mimi unazi kwa ufaransa. Siku ile David anaunganisha mpira wa kross ya Pires iliyotoka kulia nilipiga kelele nikavua shati mbio mbaya kutoka nje kutamba.

Mimi hata nikifa leo, ndugu na marafiki zangu watanikumbuka zaidi kwa ushabiki wangu uliotukuka kwa timu ya ma black, warabu na wazungu Ufaransa.
 
Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita. Pata picha jinsi Ufaransa hii ilivyosheheni katika michuano ya Euro 2000.
1.Barthez
2.Lilian Thuram
3.Bixente Lizarazu
4.Laurent Blanc
5.Marcel Desailly
6.Patrick Viera
7.Robert Pires
8.Youri Djokaeff
9.Thiery Henry
10.Zinedine Zidane
11.Sylvan Wiltord

Sub:
David Trezguet
Christoph Dugarry
Patrick Karembeu
Emmanuel Petit
Frank Libouf

Hapo captain Didier Deschamps alishastaafu.

Hakika sidhani kama Wafaransa watakuja kupata kikosi mahiri kama hiki, timu ilienea haswa! Hapo Fainali Italy anakufa kwa goli la dhahabu, Nyakati zimekwenda wapi? Ulikuwa wapi wakati kikosi hiki cha Les Bleus kikitikisa Ulaya na Dunia nzima?
Ni Christian karembeu sio Patrick pia pana mtu aliitwa johan micoud akina Vincent candela pia walihusika katika squad hii
 
Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita. Pata picha jinsi Ufaransa hii ilivyosheheni katika michuano ya Euro 2000.
1.Barthez
2.Lilian Thuram
3.Bixente Lizarazu
4.Laurent Blanc
5.Marcel Desailly
6.Patrick Viera
7.Robert Pires
8.Youri Djokaeff
9.Thiery Henry
10.Zinedine Zidane
11.Sylvan Wiltord

Sub:
David Trezguet
Christoph Dugarry
Patrick Karembeu
Emmanuel Petit
Frank Libouf

Hapo captain Didier Deschamps alishastaafu.

Hakika sidhani kama Wafaransa watakuja kupata kikosi mahiri kama hiki, timu ilienea haswa! Hapo Fainali Italy anakufa kwa goli la dhahabu, Nyakati zimekwenda wapi? Ulikuwa wapi wakati kikosi hiki cha Les Bleus kikitikisa Ulaya na Dunia nzima?
Ni Christian karembeu sio Patrick pia pana mtu aliitwa johan micoud akina Vincent candela pia walihusika katika squad hii
 
Kitambo sana mkuu, hapo ndio hasa mpira ulikuwa damuni.. kila nikimchek zidane, hapa henry kichogo aisee hili chama likinikosha, na kichogo ndio alinitia kwenye matatzo ya kuipenda arsenal..

Ila mkuu nakumbuka deschamps alikipiga hayo ndio mashindano yake ya mwisho baada ya hapo akatundika daruga
Umenchekesha sana kwamba kichogo alikutia matatani
 
Haaaaaaaaa 1998 Laurent Black anambusu Bartezi kipara chake kila gemu,solid defence line ile ilikuwa hatari sana huku katikati unamwona the Captain Didier mwenyewe
big_1504175275_9137800.jpg


Ndio, kuiweka team vizuri.
 
Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita. Pata picha jinsi Ufaransa hii ilivyosheheni katika michuano ya Euro 2000.
1.Barthez
2.Lilian Thuram
3.Bixente Lizarazu
4.Laurent Blanc
5.Marcel Desailly
6.Patrick Viera
7.Robert Pires
8.Youri Djokaeff
9.Thiery Henry
10.Zinedine Zidane
11.Sylvan Wiltord

Sub:
David Trezguet
Christoph Dugarry
Patrick Karembeu
Emmanuel Petit
Frank Libouf

Hapo captain Didier Deschamps alishastaafu.

Hakika sidhani kama Wafaransa watakuja kupata kikosi mahiri kama hiki, timu ilienea haswa! Hapo Fainali Italy anakufa kwa goli la dhahabu, Nyakati zimekwenda wapi? Ulikuwa wapi wakati kikosi hiki cha Les Bleus kikitikisa Ulaya na Dunia nzima?

_60195604_81575581.jpg


Kikosi mahiri sana.
 
Lazarazu, hunishindi mimi unazi kwa ufaransa. Siku ile David anaunganisha mpira wa kross ya Pires iliyotoka kulia nilipiga kelele nikavua shati mbio mbaya kutoka nje kutamba.

Mimi hata nikifa leo, ndugu na marafiki zangu watanikumbuka zaidi kwa ushabiki wangu uliotukuka kwa timu ya ma black, warabu na wazungu Ufaransa.
Aloo kumbe ni wengi mimi mwenyewe ule wingi wa mablack ulichangia sana kunifanya niwe shabiki wa ufaransa na walikuwa wanapiga kazi haswaa akina Viera na marcelle hawa watu walikuwa ni nadra kumaliza game bila kadi.

Nakumbuka WC ya 2014 kuna commentator alisema 'an african team represents Europe' akimaanisha ufaransa.

Happy to meet my fellow les bleus supporter tukutane russia mwakani kufanya maajabu si unajua tena tukiwa hatupewi nafasi huwa tuna watoa wale wanaopewa nafasi halafu si ndio tunachukua.
 
Aloo kumbe ni wengi mimi mwenyewe ule wingi wa mablack ulichangia sana kunifanya niwe shabiki wa ufaransa na walikuwa wanapiga kazi haswaa akina Viera na marcelle hawa watu walikuwa ni nadra kumaliza game bila kadi.

Nakumbuka WC ya 2014 kuna commentator alisema 'an african team represents Europe' akimaanisha ufaransa.

Ndio ukweli huo.
 
Comrade Lizarazu wewe umeshakuwa ndugu yangu humu jf, mimi mtu yoyote anayeshabikia France humuona ni ndugu yangu.

Baada ya hapo nyuma chama letu kuchuja kidogo sasa hivi lipo on fire. Bara lote la Ulaya chama lenye uimala kama letu ni Germany tu. Hugo Lloris, Sidibe, Digne, Varane, Umtiti, Cante, Pogba, Martial, Mbape, Dembele, Griezmann na Coman hawa ni vijana wabichi na wote wako vilabu vikubwa ulaya. Ukiwaongeza wakongwe akina Matuid, Lucazette, Sissoko, Benzem sioni wa kusimama hapo.

Namchukia sana kocha kuwa anamuacha Bezema na Ben Arfa alafu anamchukua Giroud. Ben Arfa ni kama Halzad, basi tu. Tulikosa kombe la Ulaya kwa sababu ya chuki za kijinga za Dischamps.
 
Rapa Gentamycin, Hivi kile kikosi chetu World Cup 2006 hasimu wetu Blazir angeponea wapi? 1.Bartez, 2.Sagnol, 3.Abidal, 4.Gallas, 5.Thuram, 6.Viera, 7.Marouda, 8.Makelele, 9.Trezeguet, 10.Zizou, 11.Henry. Beanch yuko Ribery farasi, Wiltod, Sirvestre, Coupet na Govou. Hapo Blazir ilikuwa lazima are 16 bora kwenda robo final.

Gaucho wao na Ronaldo walikumbana na kiama cha miamba ya kiafrika yenye nguvu Gallas, Thuram, Viera na Makelele.

Siku ile nilifurahi nilipiga kelele mtaani kama mwehu huku mtaa ukiwa kimya kama wamefiwa eti kisa Blazir kufa. Na hiyo ilikuwa ni mfululizo wa waniga wa kifaransa kumchinja na kumsukumiza nje Blazir world cup, mwanzo ilikuwa 1986 kule Mexico alafu 1998 Ufaransa tena 2006 Ujeruman na kabla ya hapo 2001 Blazir alikuwa amesha uwawa kule Japan robo final ya kombe la mabara wauwaji wakiwa akina Pires na Diessel.

Nawapenda sana Less Blues na huwa nawachukia sana Blazir kwakuwa washabiki wao hawaipendi kabisa Ufaransa yaani wao hupenda Ufaransa tuchapwe na timu yoyote ile tunayokutana nayo.
 
Nilikuwa barnaba Niko likizo baada ya kufunga shule, siku hiyo nimetoka zangu kucheza fainali ya kombe la kuku tumepigwa 6-1 na jamaa Fulani walikuwa wanajiita BLACK MAMBAZ wakachukua jogoo wao halafu wakatufurumusha na mawe maana yalikuwa ni madingi na ligi ilichezewa mtaani kwao.

Kwanza sikula kabisa usiku, ukichanganya maumivu ya kukosa kuku na ule mzuka wa kusubiria game hamu ya kula itoke wapi, akili yangu ilikuwa inawaza kumuona TH14 akitupia tu basi.

Siku hiyo Zidane alikuwa haoni pakupitisha mipira aliwekwa kwenye giza la catenacio kila akigeuka akiangalia mbele anamuona canavaro na nesta sio henry wala djokerf.

Mpaka dakika 91 baada ya mpira kuanza nawaona wataliano wakijiandaa kushangilia ubingwa wameshajifunga na bendera zao viunoni, nikajua tayari ngoma imelala na pia muda huo Italia alikuwa ametolewa na France world cup iliyopita kwenye robo fainali hivyo ilikuwa ni mechi ya kisasi.

Sekunde 28 za mwisho wataliano hawawezi kuzisahau kamwe katika maisha yao baada ya trezguet kuwavurugia sherehe, dakika tatu baada ya extra time wiltord ana wauwa wataliano kwa goli la dhahabu na mpira unaisha ufaransa anaweka record ya kuchukua euro na WC ndani ya miaka miwili.

Nikiwa kama shabiki mkubwa wa ufaransa naomba sana FIFA waturudishie tena goli la dhahabu, hili dunia iendelee kuona maajabu yalikuwa yanafanywa na ufaransa kipindi hicho
Goli la dhahabu lilifungwa na Wiltold? Au la kusawazisha?
 
Ni kweli mkuu, Dino Zoff alitamba wakati Italy ikibeba ndoo ya Dunia pale Espana (Spain) mwaka 1982 chino ya Mshambuliaji matata wa kipindi hiko Paolo Rossi.
Pia kuna beki aliyeitwa Claudio Gentile ambaye alisifika kwa man marking dhidi ya washambuliaji hatari waliokutana na Italy.

Kuna mlinda mlango anaitwa Sirigu alikuja vizuri kumchallenge Buffon ila siku hizi amepotea sana!
Nahisi yupo Crystal Palace
 
Back
Top Bottom