Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Pana bwana mdogo mmoja baada ya kupitia michango ya uzi huu akawa hana budi ila kutoa salaam ya maamkizi ya heshima kwa wadau humu. Sasa cha ajabu mnaipita tu comment yake bila kujali heshma aliyowapa ningependa kutumia nafasi hii kuwaomba waungwana muitikieni huyo bwana mdogo salaam yake kisha tuendelee.