Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Ufaransa hiyo kwenye nusu fainali au robo fainali hivi walikutana na Ureno ya Luis Figo, dakika za lala salama Ufaransa wanapata penati na ilienda kupigwa na Zidane, basi wakati Zidane anaenda kupiga penati, Figo akavua jezi yake na kutoka nje ya uwanja maana alijua Zidane hawezi kosa na lazma akipata watakuwa washatoka kwenye mashindano.
Dah.. tunatofautiana hakuna fainali ilinikosha km ile, aisee ufaransa hii nilikuwa mnazi hasaaa..Hakuna Mechi Iliniuma kama Fainali ya Euro 2000 nilikuwa siwapend France toka Alivyowafunga Brazil 1998 na akaja fainali akampiga Italy
Italy wanapata Goli Wiltord anaswazisha ngoma inaenda Extra Time
Trezeguet anapiga Bonge la Goli Extra Time.
We acha tu mkuu.Paragraph ya I kuna kitu umesema, siri yangu na maumivu yangu!
Hakuwepo.. alianza world cup 2006Frank ribery umemsahau
Hawa nahis ni baba mmoja mama tofauti[emoji23] [emoji23] [emoji23]Guivarch Hapo Alipigwa Chini Akabebwa Nicolas Anelka. We Striker Hafungi Kama Beki. Yani Kwa Msiomjua Guivarch Ni Kama Giroud,Hata Giroud Afadhali Anafunga.
Mbona unataja wa hapo kati..Buffon,Barzagali,Georgie,marchisio,Montolivo,Lorenzo,hao ni baadhi
Sahihi..Hahaha, wengine ndo kwanza tulikua 'vidudu'. Wachezaji tulikua tunawajulia kwenye stickers tu.
Utotoni mchezaji nliempenda sana alikua ni titi camara ( sina uhakika na spelling).
Ninaamini hata wewe hukuwepo Wakatia Ufaransa inachukua EURO mwaka 2000..
Coz Hicho Kikosi Umekikosa ikimaanisha hukukukiona wala hukuwahi kukijua...
1. Youri Djokaeff hakuwa kwenye first XI bali alikuwa ni Supper Sub...
2. Thiery Henry pia alikuwa hajawa World Class! Kwahiyo alikuwa hana Namba bali ni Sub..
3. Sylvan
Wiltord pia Aliingia Kama Subs na Wala hakuwa katima XI ....
Kwahiyo kabla ya Kupost kwanza Fatilia....
Ufaransa hiyo kwenye nusu fainali au robo fainali hivi walikutana na Ureno ya Luis Figo, dakika za lala salama Ufaransa wanapata penati na ilienda kupigwa na Zidane, basi wakati Zidane anaenda kupiga penati, Figo akavua jezi yake na kutoka nje ya uwanja maana alijua Zidane hawezi kosa na lazma akipata watakuwa washatoka kwenye mashindano.
Mkuu Makaveli nfo maana nikakwambia baadhiMbona unataja wa hapo kati..
hahaha, Figo alijua fika Zizzou asingekosa mkwaju wa penati!Ilikuwa nusu hiyo mkuu.. figo alinivunja mbavu, ilikuwa ni furaha kubwa sababu mie nilikuwa ufaransa damu..
Nikiwa na maana hawakuwepo kwenye italy ya euro 2000Mkuu Makaveli nfo maana nikakwambia baadhi
Zizzou tena kwenye ubora wake.. hili jamaa liacheni tu, akili yakr na miguu yake vilikuwa vinatenda kazi sawa sawia..hahaha, Figo alijua fika Zizzou asingekosa mkwaju wa penati!
Yes back then Toldo,Zambrota,Totti,Del Pierro,Gattuso,Nikiwa na maana hawakuwepo kwenye italy ya euro 2000
Zambrotta hakuwepo wala huyo GattusoYes back then Toldo,Zambrota,Totti,Del Pierro,Gattuso,
Kaangalie vizuriZambrotta hakuwepo wala huyo Gattuso
Uko sahih kidogo.. gattuso hakuwemo ika zambrotta alikuwepo kikosini.Zambrotta hakuwepo wala huyo Gattuso