kama namuona vile hahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti anasema alikuwa anabadili seating room ili apate network, sijui kama alipata wazo la kupanda juu ya mti maana angeipata network mubashara kabisa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kuna mtu mmoja aliandika ile usiku nilimmiss mpenzi wangu angalau jf imerudi nichat naye ila kwa sasa ameshalala. Nikacheka sana lolKwakweli kuna wale watu wa pm bila kupeana mawasiliano mbadara ndio walikua na stress sana, nahisi Mwifwa hajafanya makosa leo kishachukua vyake
Ahsante kwa kunikaribisha sister nimefurahi sana aisee Hajar umechelewa .sana sister ila kwa sasa nipo kwa familia yakobasi mim ni mdogo wake wa pili damu moja wa tatu Davet wa nne Mwifwa hiyo ndio family yetu karibu kak
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23][emoji23]
Nimegundua tu lengo lako lilikua ni nini katika hiyo post....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja ninyamaze tu nisije kumwaga mboga huku bado hatujashiba
Kuna mtu mmoja aliandika ile usiku nilimmiss mpenzi wangu angalau jf imerudi nichat naye ila kwa sasa ameshalala. Nikacheka sana lol
Nikajisemea mapenzi gani hayo ya Pm pekee.
babu mbon hivyo jamani[emoji47][emoji47]Nakutaka radhi mbea mkuu...
Pale tumechat kidogo (ndio) (nika) patwa na usingizi ndio nikalala zanguHahaaa. (Ndio) naiona na mie (nika) shangaa kwa nini hamkulala. Teh.
Ewaaaaa
Cc@Asprin
Nimefanyaje tena?babu mbon hivyo jamani[emoji47][emoji47]
HahahahahaaaHahahaaaaa. Nimecheka tu pale aliposema alitaka kufungua Pm ya fulani. Lol.
Hahahahaaaaaaaa.
Kwakweli kuna wale watu wa pm bila kupeana mawasiliano mbadara ndio walikua na stress sana, nahisi Mwifwa hajafanya makosa leo kishachukua vyake
Ooh (ndio) asubuhi (nika)ingia na kukuta hamkulala.Pale tumechat kidogo (ndio) (nika) patwa na usingizi ndio nikalala zangu
Ushauri wako mmmmhShem shida ni nini jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha, kama namuona kwa mfadhaiko aliokuwa nao jana
Cheka tu kaka ake.Hahahahahaha aiseeee
Sasa usipoingiza yote utamu na watoto watapatikanaje???Ewaaaaa usiingize yote kwa kwa jinsia ile ukiingiza yote akijua tu ni shida atakavyokuwa anakupeleka peleka
Hahah!!Kuna mtu mmoja aliandika ile usiku nilimmiss mpenzi wangu angalau jf imerudi nichat naye ila kwa sasa ameshalala. Nikacheka sana lol
Nikajisemea mapenzi gani hayo ya Pm pekee.