Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Kwakweli kuna wale watu wa pm bila kupeana mawasiliano mbadara ndio walikua na stress sana, nahisi Mwifwa hajafanya makosa leo kishachukua vyake
Kuna mtu mmoja aliandika ile usiku nilimmiss mpenzi wangu angalau jf imerudi nichat naye ila kwa sasa ameshalala. Nikacheka sana lol

Nikajisemea mapenzi gani hayo ya Pm pekee.
 
Kuna mtu mmoja aliandika ile usiku nilimmiss mpenzi wangu angalau jf imerudi nichat naye ila kwa sasa ameshalala. Nikacheka sana lol

Nikajisemea mapenzi gani hayo ya Pm pekee.
Hahah!!

Hayo yanaitwa mapenzi ya ndani au domestic love bado hayajavuka boda kua ya kimataifa

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…