Kuna mmoja anatumia tz_sweartheart na mwingine patric walikuwa wanasema washawamisi watu wa JF ukiwepo na wewe kwenye listSalama jamani yaan jana kwenye acc ya jf insta nimekuta members wa jf wanalalamika yaani nilitamani tu kuwajua jamani
Hahaaaaa. Nikaona tag lako la saa saba na Davet nikacheka sana aisee.Yani hicho ndicho nilichokuwa nakumbana nacho hasira huwa inanishika mpaka simu naichukia
Hahaaaaa. Kabisaaaaaaa.poleee....bt now we are baaaack
Mrembo vipi shwari?Mzee wa chelsea shikamoo
Niliona kuna mmoja anaitwa kijiwe ushenzy jamani anawatukanaga mashoga insta natamani tu ningemjua kwa I'd yake ya humu yaani alisema ametumiss sanaKuna mmoja anatumia tz_sweartheart na mwingine patric walikuwa wanasema washawamisi watu wa JF ukiwepo na wewe kwenye list
Hata hvyo shambulio la jana limekaa kisiasa sana, why jana??Mi nilihofia usalama wa watumiaji wa mtandao...maana shambulio limekuja wakati wa taharuki ya maandamano sa nikajua kimeshawaka huku.
Shwari mchumba za weweMrembo vipi shwari?
Hahaaaa. Kwema aiseee.Nimefika rafiki, vipi lakini kwema jamani?
Hahaha uonisha majina...mbona unawatambua kirahisi tu,,,,yani kama wew huku shunie kule nikiona shey lee kalalama najua kabisa ni wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Salama jamani yaan jana kwenye acc ya jf insta nimekuta members wa jf wanalalamika yaani nilitamani tu kuwajua jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]π π π Yeye alikuwa hawezi kuingia
Ahaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niwe mkweli na sihitaji mtu aniamini mimi nilifanya kolabo na tunguli kwahiyo nikawa online muda wote... Shida ni kwamba sikuwa na wakuchat naye.. Hivyo nikawa navinjari tu majukwaa yasiyo na watu kama wale manjagu leo mitaani
Ushawahi tayariiTaarifa za maandamano pekee
Gud sana, naona tumekutana tena sasa tuutumie haraka haraka kabla haujashambuliwa tenaShwari mchumba za wewe
Hahhaha wala mm tofauti kabisa na username yangu ya insta sema kuna mmoja alikuwa analalamika kamiss jukwaa lake wazee wa kubet nikamfananisha na usserHahaha uonisha majina...mbona unawatambua kirahisi tu,,,,yani kama wew huku shunie kule nikiona shey lee kalalama najua kabisa ni wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]