Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ulilipokea vipi shambulio la JF?

jamani mie tangu jana sikuwa maeneo haya mara paaaaa leo asubuh naingia naona kitu kinaload masaa tele ili bidi nimwendee hewan dada hajar kumuuliza kulikon mbon siingii leo au simu yangu mbovu khee huk sijajibiwa bdo nikamzukia mwifwa looh ndo napewa habri mbaya niliishiwa nguvu jamni mweeeeeeh jf idumu jamni nashukur kwa taarifa dada angu kipenzi Hajar
 
Screenshot_20180426-134654.png
 
jamani mie tangu jana sikuwa maeneo haya mara paaaaa leo asubuh naingia naona kitu kinaload masaa tele ili bidi nimwendee hewan dada hajar kumuuliza kulikon mbon siingii leo au simu yangu mbovu khee huk sijajibiwa bdo nikamzukia mwifwa looh ndo napewa habri mbaya niliishiwa nguvu jamni mweeeeeeh jf idumu jamni nashukur kwa taarifa dada angu kipenzi Hajar
Hahahaaaa. Nikikumbuka nacheka sana sababu sio kwa Viemoj vile vya kutia huruma kiasi kile lol.

Pole sana mdogo wangu. Ila jf idumu tu kwa kweli sababu sijui kuchat Whatsapp hata hakunogi yaani. Lol.
 
Back
Top Bottom