Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ulilipokea vipi shambulio la JF?

jamani mie tangu jana sikuwa maeneo haya mara paaaaa leo asubuh naingia naona kitu kinaload masaa tele ili bidi nimwendee hewan dada hajar kumuuliza kulikon mbon siingii leo au simu yangu mbovu khee huk sijajibiwa bdo nikamzukia mwifwa looh ndo napewa habri mbaya niliishiwa nguvu jamni mweeeeeeh jf idumu jamni nashukur kwa taarifa dada angu kipenzi Hajar
Hahaha haya sasa wale mnaotaka namba za hajar mchekini ukhuty huko paulo makonda(pm) yake
 
Hahahahaha davet akasema umelala tukusubili asubuhi asubuhi saa kumi na mbili nimeingia imefunguka, sasa kufungua post inagoma daaah.nimeteseka sana
Hahaaa. Pale niliamka kufanya ile ibada ya Alfajir nilipomaliza si nikasema ngoja niingie jf nafika nimeandika halafu nikalala nakuja kujaribu mida ya saa mbili naona hali imerudi lol.

Ila pole kwa kuteseka kaka ake.
 
Back
Top Bottom