Princess qute
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 621
- 552
Yani nimennua bundle jipya nikajua zimeisha MB ila bado nika uninstall JF nikainstall upya bado nikaenda google kutumia browser pigwa na chini na sikupata akili ya kuingia insta kwenye page nikajua kuna nini hangaika weee nane ucku ndo najua ni mtandao dah I'm back [emoji126]Baada ya shambulio la jana lililopelekea mtandao pendwa kuwa down kwa masaa kadhaa na ukawa haupatikani kabisa uliwamiss member gani humu?
Ulimiss topic gani humu?
Ulimiss comments za member gani humu?