Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Baada ya shambulio la jana lililopelekea mtandao pendwa kuwa down kwa masaa kadhaa na ukawa haupatikani kabisa uliwamiss member gani humu?
Ulimiss topic gani humu?
Ulimiss comments za member gani humu?
Yani nimennua bundle jipya nikajua zimeisha MB ila bado nika uninstall JF nikainstall upya bado nikaenda google kutumia browser pigwa na chini na sikupata akili ya kuingia insta kwenye page nikajua kuna nini hangaika weee nane ucku ndo najua ni mtandao dah I'm back [emoji126]
 
Yani hicho ndicho nilichokuwa nakumbana nacho hasira huwa inanishika mpaka simu naichukia
Polee
Wahuni wa vpn tulikuwa tunapetaaa kama kawaida
Screenshot_2018-04-25-22-01-54.jpg
Screenshot_2018-04-26-15-19-58.jpg
 
Hahaaa. Pale niliamka kufanya ile ibada ya Alfajir nilipomaliza si nikasema ngoja niingie jf nafika nimeandika halafu nikalala nakuja kujaribu mida ya saa mbili naona hali imerudi lol.

Ila pole kwa kuteseka kaka ake.
Kwa Mara ya kwanza leo ndo nimekaa fb muda mrefu. Hii ni baada ya kuikosa jf [emoji41] [emoji41]
 
Tatizo sio kupokea vipi,uliza information zipo salama? Nadhani viongozi wawe makini zaidi. Kupigwa shambulio la aina moja kwa vipindi viwili tofauti huo ni uzembe.
 
Baada ya shambulio la jana lililopelekea mtandao pendwa kuwa down kwa masaa kadhaa na ukawa haupatikani kabisa uliwamiss member gani humu?
Ulimiss topic gani humu?
Ulimiss comments za member gani humu?
mnaposema jf imeshambuliwa siwaelewi maana sijaona msemaji wa jf akisema kuwa mtandao umeshambuliwa! na sio mara ya kwanza hili kujitokeza...
 
Back
Top Bottom