Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Nikajua ndio basi tena, lakini hivi tatizo lilikuwa nini hasa?
 
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] kweli jamani kuna mmoja nilichat nae sana DM yaani halafu tunajuana huku nilimuuliza VPN gani anatumia akakataa kata kata kunitajia I'd yake yaan kaniambia nipo mmu sana chit chat na jukwaa la wakubwa

Hahahahahaha hahahaha, aiseeeee jamii forum raha bwana asikwambie mtu
 
Back
Top Bottom