Hizi tambo eti Tanzania inajenga na kununua vitu kwa pesa yake bora mustop wimbo usioakisi hali halisi. Tunakusanya bilioni 1350 kila mwezi na kati ya hizo bilioni 700 tunalipa madeni nje ya Tanzania ,ya ndani tumekataa kulipa kisngizio ni uhakiki Wa madeni halafu bilioni 600 ni mishahara ya wafanyakazi .sasa kwa hesabu hii Tz anabaki na hela gani kujenga na kununua kwa pesa yake.? Ukweli tunakopa kwenye mabenki ya kibiashara . hivi mnaoimba Tz anatoa huduma nzuri ulishauguliwa ukaenda hospitali ya mkoa au rufaa au hata zahanati , hujaambiwa kanunue dawa Fulani na Fulani mgonjwa aendelee na matibabu. Hata aliyesema Tz can be a donor country siku hiyo statement hajairudia mumebaki jesters Wa mfalme ndio mnauimba. Tz bado sana aisee pagara LA umaskini tumo tu. Tz anakopa kwenye mabenki ya biashara nasisitiza hana hela. Kenya may be a failed state kwa ukosefu Wa Amani lakini na sisi tunaingia kuwa failed state kwa ukosefu Wa huduma za kijamii maana nayo ni sifa mojawapo ya failed state . hivi Tz ingekuwa Jirani na Somalia asingekuw kama failed state mbayosema ,Refer Congo tumeweza kuwatoa waasi hadi Jana wameua watu 150 na ni mwaka Wa NNE majeshi yetu yako huko mwaka Wa NNE. Acheni upofu wenu. Huwezi kufight guerilla insurgents ambao mchan ni RAIA usiku ni wauaji. Huwzi!!!