Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Wakuu naomba kufahamu kuhusu suala hili tafadhari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo cheti kinapatikana auWeka pesa mfuko wa shati
kwan kila mtu huwa anafunga ndoa mkuu??anakuwaje mke bila cheti cha ndoa
Wewe huna ndoaNgoja tusubiri mrejesho wa wadau
ok sawa kwa uelewa wako mke nankwan kila mtu huwa anafunga ndoa mkuu??
Mke ni mwanamke unaeishi nae baada ya kutambulika na kumalizana na wazazi wake huyo anakua mke…ok sawa kwa uelewa wako mke nan
Sasa ww ndo umeongea!!Kalipie 50 upate cheti cha ndoa. Usisubiri Uhamisho ili uanze kuhangahika
anakuwaje mke bila cheti cha ndoa
we coco beach jitulize😀😀😀👏🏽👏🏽👏🏽📌📌📌
bas sawa isiwe shida utaelekezwa ivoivo kwa uelewa wako..........waambie wazazi wake wakupe cheti cha ndoa kama hawawakukupaMke ni mwanamke unaeishi nae baada ya kutambulika na kumalizana na wazazi wake huyo anakua mke…
Yes. Ukipata Uhamisho ndipo unaanza kuhangahikia kitu ambacho ungekifanya kwa uhuru siku za nyuma.Sasa ww ndo umeongea!!
Kunywa pepsi big😀😀
uhamisho huwa unahitaj chet cha ndoaYes. Ukipata Uhamisho ndipo unaanza kuhangahikia kitu ambacho ungekifanya kwa uhuru siku za nyuma.
😀😀😀bas sawa isiwe shida utaelekezwa ivoivo kwa uelewa wako..........waambie wazazi wake wakupe cheti cha ndoa kama hawawakukupa
Mkatie tu bila hata ya kusema ni mkeo.Wakuu naomba kufahamu kuhusu suala hili tafadhari.