Cheti Huwa mnaakiamini sana.Mke hlf hamna cheti ungesema unamkatiaje bima nwanamke unayeishi nae
Sasa bima unaikatia kwenu jamaniCheti Huwa mnaakiamini sana.
Kwetu sheria inasema mkishakaa tu miezi Sita nyuma Moja. Inatosha kuwa mke.
Pia watoto wanatosha.
Cheti cha ndoa sio lazima.anakuwaje mke bila cheti cha ndoa
Hiyo hiyo sheria. Nenda kwenye mirathi utaambiwa leta cheti cha ndoa.Cheti Huwa mnaakiamini sana.
Kwetu sheria inasema mkishakaa tu miezi Sita nyuma Moja. Inatosha kuwa mke.
Pia watoto wanatosha.
Sasa unakuaje na mke bila ndoa kwa kukusaidia tumia neno hawala badala ya mke.kwan kila mtu huwa anafunga ndoa mkuu??
Kwan maana ya mke ni nini??Sasa unakuaje na mke bila ndoa kwa kukusaidia tumia neno hawala badala ya mke.
Nini maana ya mke kwa mujibu wa sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania?Kwan maana ya mke ni nini??
Na cheti nani anatoa?
ndoa ya kimila ina cheti?
Ukitoa mahali unapewa cheti na nani?
Kwani wenye Biba ni weye Mke na mme tu. Mbona wapo masingle wengi tu. Mkatie tu.Sasa bima unaikatia kwenu jamani
Ni kitaka kurhibitisha tu iwapo kuna shida, ni kwa sababu wezi ni wengi. Ila kama mtu unamke mmoja hii hainashida kabisa.Hiyo hiyo sheria. Nenda kwenye mirathi utaambiwa leta cheti cha ndoa.