Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Hahah kwenye maandamano warembo huwa hawapigwi.Nikaandamane nipigwe virungu na polisi niharibu hii sura yangu niliyopendewa nayo. Akuuuuuuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah kwenye maandamano warembo huwa hawapigwi.Nikaandamane nipigwe virungu na polisi niharibu hii sura yangu niliyopendewa nayo. Akuuuuuuu!
Chimbuko lazma hata Duniani yenyew ilikuwa na chanzo chakeNi kweli
Kama unaweza kueleza sababu ya kumpenda mtu basi hayo sio mapenzi.
Ngoja wakijichanganya ndiyo utaonaHahah kwenye maandamano warembo huwa hawapigwi.
Mkuu ushasema duniaChimbuko lazma hata Duniani yenyew ilikuwa na chanzo chake
MMh saw ngoj nlikuamin tuuMkuu ushasema dunia
Mapenzi ni dhana.
Tabia zake je?Skin color na vyeti vyake vya shuleni.
Mi ni mzoefu naelewa ninachozungumza hapaNgoja wakijichanganya ndiyo utaona
Fanya ka-researchMMh saw ngoj nlikuamin tuu
Huyo msimuliaji mnafki Sana😂Kuna wanawake wamependa hii
View attachment 3235596
Aya ngoja niichukulie uangalifu Kisha nitakurejea nkupe mrejeshoFanya ka-research
U confirm hii fact
Vipanga huwa wanajielewa sana, wanaogopa magonjwa na kudharaulika kwenye jamii.Tabia zake je?
Ahaaa inamaanisha kuwa???Vipanga huwa wanajielewa sana, wanaogopa magonjwa na kudharaulika kwenye jamii.
Kuwa niniAhaaa inamaanisha kuwa???
Ahahaha🥺🥺Kuwa nini
Unalo tako nitume apulikesheni?Kadhi haujajibu, ulimpendea nini waifu, au ndo tako tu lilikupagawisha?
Na chuma chuma kweli.Full package, safi 👌🏼
Ukisikia mwanaume amemnunulia mwanamke nyumba Dubai, sababu mojawapo ndiyo kama hii hapa! Yaani unapendwa mpaka unachanganyikiwa! 🥰Nimempendea kifuq kikubwa Tate Mkuu ,uweupe wake ,utanashati ,uhandsome , nanichibaba akivaa sendol zake anatumia anavutia miguu aha amejaliwa japo sauti hapana