Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa human being ni spiritual creature kujifunza ni muhimu na Ku-experience mambo tofauti tofauti.💪🏿📌🔨Mkuu kuhusu namba ni kweli kabisa
Mwaka ukiwa haugawanyiki Kwa mbili unakuaga Una mitetemo ya juu Sana na ukiseti masafa yako yanakamata Kwa wepesi
Hii nimeifanyia tafiti binafsi tangu 2009/2011/2013/2015/2017/2019/2021/2023.
Kwakuwa human being ni spiritual creature kujifunza ni muhimu na Ku-experience mambo tofauti tofauti.
Kaswida siku hizi hazina tofauti na kwayaHaya uloelezea yanatokea huko kwingine,lkn kamwe uwezi yapata katika uislamu,, mwenye ushahidi aniambie,kwa mifano ya hapahapa tz,uko nje sijui.
Freemason ni shirika la kidini linalofundisha maadili, upendo, na utii wa sheria. Ingawa sio taasisi ya Kikristo, imepokea upinzani kutoka kwa dini zilizopangwa, haswa Kanisa Katoliki la Roma.Mkuu ungeelezea kidogo kwa Freemasons hapo......
Hili nilitaka nami nimuulize. Sijajua kama alishakujibu mkuu.Mshana Jr kipi kifanyike?
We Mluya ndugu yake na Pozee comments zako zimekaa kishari shari tu😀😀😀😀😀.Haya yote yalitabiriwa, ujio wa mpinga Kristo, atakuja kwa mbinu nyingi, Kuna hata wanaotulipua mabomu na kuchinja Wakristo.
Haya uloelezea yanatokea huko kwingine,lkn kamwe uwezi yapata katika uislamu,, mwenye ushahidi aniambie,kwa mifano ya hapahapa tz,uko nje sijui.
Umenena ile kweli..Asili inachukua mkondo wake.. Dini zilizotegemewa kama kimbilio la kumuokoa mwanadamu kiroho sasa zinashuhudia anguko kubwa kuliko wakati mwingine wowote ule
Kwasasa dini nazo ni mateka wa imani za siri za kidunia.. Na hapa namaanisha dini zote zinazomuabudu Mungu moja
Kwasasa dini zetu
. Ni dini za biashara.. Pesa zikiwa ndio kipaumbele kikubwa
. Ni dini za miujiza na mazingaombwe
. Ni dini za mipasho na ulaghai
. Ni dini zinazobeba majukumu ya waganga wa kienyeji walozi na wachawi
. Ni dini za kufanyiana fitina, majungu na kugombea vyeo na madaraka
. Ni dini kwa ajili ya wenye nacho hasa matajiri, wanasiasa, wasanii wakubwa, watu maarufu na hata wauaji wa kuogopeka
. Ni dini zenye kutanguliza maslahi binabsi ama maslahi ya watawala ama kundi fulani la watu
Tuna dini zisizofundisha uhalisia ama zisizojua kufundisha uhalisia ama kutafsiri maandiko na misahafu.. Tuna dini za kuhubiri vitu vya kufikirika zaidi na mifano mfu ya kufunga
Haya mambo yamesababisha ombwe kubwa kwa naamini na waumini wake huu ya uelewa, ufahamu na mikanganyiko mingi kunakopelekea anguko kubwa...!
Vyama vya siri vyenye kutoka mafundisho ya ufahamu na kujitambua, vyenye mikakati na maono ya mbali sasa ndio vimeziteka dini zoote na ndio vinaendesha dunia
Bila kuwa na uelewa binafsi
Bila kuwa na maarifa binafsi
Bila kuwa na imani thabiti na binafsi yako mwenyewe, juuu ya yale unayoamini na kwanini unayaamini.. Juu ya ithibati mbali mbali.. Umekwisha!
Asili inachukua mkondo wake.. Maana dini zimefeli..zimejaa mafundisho yanayohitaji ufafanuzi wa kina .. Lakini hao wafafanuzi sasa! Ni majanga..
Dini zetu zinatufundisha tusiue.. Lakini hatujafafanuliwa tusiue nini na kwa sababu gani.. Huu ni Mfano mmoja tu rahisi kabisa!
Dini zetu zinatuambia kuhusu nambari ya siri inayotawala na inavyotawala dunia lakini hakuna wafafanuzi wa haya maarifa.. Matokeo yake nambari hiyo imepenya mpaka kwenye dini zenyewe maana ndio mahitaji ya nyakati
Kuna wajenzi huru(Freemasons) wapembuzi yakinifu waliojawa maarifa, wanaoweza kujibu kila swali tata.. Wenye elimu pana na kubwa na maarifa kuhusu, dunia, ulimwengu na imani zake.. Hawa ni mabingwa wao mipangilio ya tarakimu.. Wanakuambia ulimwengu unaendeshwa na tarakimu (nambari za siri)
Kuna Satanism (imani za kishetani) zimepewa jina baya lakini zimejaa maarifa mengi na yenye nguvu sana .. Mengine yanatisha kwakuwa yana connection ya moja kwa moja na nguvu za asili.. Hawa ni wababe wao mambo ya kiroho
Paganism.. Wasiamini katika chochote bali imani hao😀.. Wenye kutafuta uwiano kati ya hao wengine Wote.. Wasiojua chochote kuhusu nambari za siri, wasuojua chochote kuhusu ulimwengu wa roho.. Wasiojua chochote kuhusu asili..
Waamini wa kwamba kila kitu kipo kwa sababu kipo(bila kufafanua sababu yenyewe) hakuna mwanzo na hakuna mwisho.. Hakuna Mungu, hakuna miungu wala hakuna roho! Wakizaliwa wanezaliwa na wakifa wamekufa!
Wakipata wamepata na wakikosa wamekosa! No more reasoning.. Hawa ni stress free species .. Hawajisumbui kwa lolote lile!
Hitimisho: colabo ya hawa watatu umezifanya dini zetu zote kuwa mateka wao na mafundisho yao kwa sehemu kubwa ndio yanatawala mahubiri ya kila siku kwenye nyumba za ibada zenye kumwamini Mungu mkuu..View attachment 3192798
Hakuna unachoelewa mkuu,unachoongea hapo ni kashfa tupu!!,, ndivyo ulivyokaririshwa na dini yako,,unaweza ukaniambia ugaidi ni nini.Uislamu ndio usipime, ndio dini yenye maovu yanayomzidi shetani, leo hii Dunia haikaliki kisa uchafu na ugaidi wa kiislamu, ukizingatia muasisi wa uislamu yule muarabu alikuwa anagegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa pamoja na mauchafu yake mengine.
Uislamu ndio mpinga Kristo haswa aliyetabiriwa ujio wake utasababisha machafuko ya kila aina.