Ulimwengu mikononi mwa Freemason, Satanism na Paganism

Ulimwengu mikononi mwa Freemason, Satanism na Paganism

Mshana Jr kipi kifanyike?
IMG-20250105-WA0035.jpg
 
Mkuu kuhusu namba ni kweli kabisa

Mwaka ukiwa haugawanyiki Kwa mbili unakuaga Una mitetemo ya juu Sana na ukiseti masafa yako yanakamata Kwa wepesi

Hii nimeifanyia tafiti binafsi tangu 2009/2011/2013/2015/2017/2019/2021/2023.

Kwakuwa human being ni spiritual creature kujifunza ni muhimu na Ku-experience mambo tofauti tofauti.
 
Mkuu kuhusu namba ni kweli kabisa

Mwaka ukiwa haugawanyiki Kwa mbili unakuaga Una mitetemo ya juu Sana na ukiseti masafa yako yanakamata Kwa wepesi

Hii nimeifanyia tafiti binafsi tangu 2009/2011/2013/2015/2017/2019/2021/2023.

Kwakuwa human being ni spiritual creature kujifunza ni muhimu na Ku-experience mambo tofauti tofauti.
Kwakuwa human being ni spiritual creature kujifunza ni muhimu na Ku-experience mambo tofauti tofauti.💪🏿📌🔨

Thanks1736094430512.gif
 
Haya uloelezea yanatokea huko kwingine,lkn kamwe uwezi yapata katika uislamu,, mwenye ushahidi aniambie,kwa mifano ya hapahapa tz,uko nje sijui.
 
Mkuu ungeelezea kidogo kwa Freemasons hapo......
Freemason ni shirika la kidini linalofundisha maadili, upendo, na utii wa sheria. Ingawa sio taasisi ya Kikristo, imepokea upinzani kutoka kwa dini zilizopangwa, haswa Kanisa Katoliki la Roma.
Hapa kuna baadhi ya vipengele vya mafundisho ya Freemasonry:

Imani
Freemasons lazima waamini katika kiumbe mkuu(mighty being) na kutokufa kwa roho.

Fadhila
Freemasons hujitahidi kukamilisha fadhila za ujasiri, busara, kiasi, na haki.

Freemasonry ni shirika la kindugu ambalo lilianzia Enzi za Kati kama chama cha waashi na wajenzi wa makanisa makuu:

Asili
Freemasonry ilianza kama chama cha waashi waliosafiri kufanya kazi kwenye makanisa makuu huko Uropa. Walitumia mishiko, maneno, na ishara ili kuonyesha sifa zao na kujitofautisha na wajenzi wasiostahili.

Freemasonry ya kisasa
Mnamo 1717, Grand Lodge ilianzishwa nchini Uingereza, ikipokea wanachama ambao hawakuwa waashi wa mawe. "Waashi hawa wanaokubalika" walitumia "uashi wa kubahatisha", ambao ulisisitiza kanuni za maadili kama vile hisani, haki, ukweli na ubinadamu.

Uanachama
Freemasonry kwa ujumla ni shirika la wanaume pekee, lakini baadhi ya nyumba za kulala wageni huruhusu wanawake kujiunga. Ili kuwa Freemason, mwombaji lazima awe mwanamume mtu mzima anayeamini kuwa kuna mtu mkuu na kutokufa kwa nafsi.

Imani
Freemasonry sio dini, lakini wanachama wanaamini katika nguvu ya Juu inayoitwa "Msanifu Mkuu wa Ulimwengu". Kanuni kuu za Freemasonry ni Upendo wa Ndugu, Usaidizi, na Ukweli.

Jamii ya siri
Freemasonry inachukuliwa kuwa jumuiya ya siri kwa sababu inaficha baadhi ya mila, desturi, au shughuli zake kutoka kwa umma. Freemasons wana kiapo cha siri na kupeana mikono kwa siri.

Umaarufu
Uamasoni ni maarufu zaidi katika Visiwa vya Uingereza na nchi zingine ambazo hapo awali zilikuwa sehemu ya Milki ya Uingereza.
Wanachama mashuhuri
Wengi wa waanzilishi wa Marekani walikuwa Freemasons, ikiwa ni pamoja na George Washington na Teddy Roosevelt.
 
Haya yote yalitabiriwa, ujio wa mpinga Kristo, atakuja kwa mbinu nyingi, Kuna hata wanaotulipua mabomu na kuchinja Wakristo.
 
Haya yote yalitabiriwa, ujio wa mpinga Kristo, atakuja kwa mbinu nyingi, Kuna hata wanaotulipua mabomu na kuchinja Wakristo.
We Mluya ndugu yake na Pozee comments zako zimekaa kishari shari tu😀😀😀😀😀.

Hivi kwanini Kiingereza hakijawatoa ushamba na kuwafanya mustaarabike nyie Waluya?
 
Uko sahihi, kwa imani yangu inayoniongoza hizi ni dalili za siku za mwisho:

1. watu watapenda pesa
2. kiburi kitainuka hata wazazi hawataheshimiwa tena
3. Upendo wa wengi utapoa
4. Tetesi za vita kila mahali
5. Mafundisho ya uongo kutoka kwa manabii wa uongo

Mwana wa Adamu tu karibu
 
Dunia inaenda ikibadilika. Na kila kitu duniani kinaenda kikibadilika. Hakuna kitu chochote kwenye dunia ambacho hakitakuwa na mabadiliko.
 
Haya uloelezea yanatokea huko kwingine,lkn kamwe uwezi yapata katika uislamu,, mwenye ushahidi aniambie,kwa mifano ya hapahapa tz,uko nje sijui.

Uislamu ndio usipime, ndio dini yenye maovu yanayomzidi shetani, leo hii Dunia haikaliki kisa uchafu na ugaidi wa kiislamu, ukizingatia muasisi wa uislamu yule muarabu alikuwa anagegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa pamoja na mauchafu yake mengine.
Uislamu ndio mpinga Kristo haswa aliyetabiriwa ujio wake utasababisha machafuko ya kila aina.
 
Asili inachukua mkondo wake.. Dini zilizotegemewa kama kimbilio la kumuokoa mwanadamu kiroho sasa zinashuhudia anguko kubwa kuliko wakati mwingine wowote ule
Kwasasa dini nazo ni mateka wa imani za siri za kidunia.. Na hapa namaanisha dini zote zinazomuabudu Mungu moja
Kwasasa dini zetu
. Ni dini za biashara.. Pesa zikiwa ndio kipaumbele kikubwa
. Ni dini za miujiza na mazingaombwe
. Ni dini za mipasho na ulaghai
. Ni dini zinazobeba majukumu ya waganga wa kienyeji walozi na wachawi
. Ni dini za kufanyiana fitina, majungu na kugombea vyeo na madaraka
. Ni dini kwa ajili ya wenye nacho hasa matajiri, wanasiasa, wasanii wakubwa, watu maarufu na hata wauaji wa kuogopeka
. Ni dini zenye kutanguliza maslahi binabsi ama maslahi ya watawala ama kundi fulani la watu

Tuna dini zisizofundisha uhalisia ama zisizojua kufundisha uhalisia ama kutafsiri maandiko na misahafu.. Tuna dini za kuhubiri vitu vya kufikirika zaidi na mifano mfu ya kufunga
Haya mambo yamesababisha ombwe kubwa kwa naamini na waumini wake huu ya uelewa, ufahamu na mikanganyiko mingi kunakopelekea anguko kubwa...!

Vyama vya siri vyenye kutoka mafundisho ya ufahamu na kujitambua, vyenye mikakati na maono ya mbali sasa ndio vimeziteka dini zoote na ndio vinaendesha dunia
Bila kuwa na uelewa binafsi
Bila kuwa na maarifa binafsi
Bila kuwa na imani thabiti na binafsi yako mwenyewe, juuu ya yale unayoamini na kwanini unayaamini.. Juu ya ithibati mbali mbali.. Umekwisha!
Asili inachukua mkondo wake.. Maana dini zimefeli..zimejaa mafundisho yanayohitaji ufafanuzi wa kina .. Lakini hao wafafanuzi sasa! Ni majanga..
Dini zetu zinatufundisha tusiue.. Lakini hatujafafanuliwa tusiue nini na kwa sababu gani.. Huu ni Mfano mmoja tu rahisi kabisa!
Dini zetu zinatuambia kuhusu nambari ya siri inayotawala na inavyotawala dunia lakini hakuna wafafanuzi wa haya maarifa.. Matokeo yake nambari hiyo imepenya mpaka kwenye dini zenyewe maana ndio mahitaji ya nyakati
Kuna wajenzi huru(Freemasons) wapembuzi yakinifu waliojawa maarifa, wanaoweza kujibu kila swali tata.. Wenye elimu pana na kubwa na maarifa kuhusu, dunia, ulimwengu na imani zake.. Hawa ni mabingwa wao mipangilio ya tarakimu.. Wanakuambia ulimwengu unaendeshwa na tarakimu (nambari za siri)
Kuna Satanism (imani za kishetani) zimepewa jina baya lakini zimejaa maarifa mengi na yenye nguvu sana .. Mengine yanatisha kwakuwa yana connection ya moja kwa moja na nguvu za asili.. Hawa ni wababe wao mambo ya kiroho

Paganism.. Wasiamini katika chochote bali imani hao😀.. Wenye kutafuta uwiano kati ya hao wengine Wote.. Wasiojua chochote kuhusu nambari za siri, wasuojua chochote kuhusu ulimwengu wa roho.. Wasiojua chochote kuhusu asili..
Waamini wa kwamba kila kitu kipo kwa sababu kipo(bila kufafanua sababu yenyewe) hakuna mwanzo na hakuna mwisho.. Hakuna Mungu, hakuna miungu wala hakuna roho! Wakizaliwa wanezaliwa na wakifa wamekufa!
Wakipata wamepata na wakikosa wamekosa! No more reasoning.. Hawa ni stress free species .. Hawajisumbui kwa lolote lile!

Hitimisho: colabo ya hawa watatu umezifanya dini zetu zote kuwa mateka wao na mafundisho yao kwa sehemu kubwa ndio yanatawala mahubiri ya kila siku kwenye nyumba za ibada zenye kumwamini Mungu mkuu..View attachment 3192798
Umenena ile kweli..
Lakini niongeze kitu kidogo hapo..
Kwenye hizo imani tatu ulizoorodhesha mkubwa wao ni satanism... yaani.. satanism matawi yake ni freemason, Illuminat, Paganism na nyinginezo ambazo hapa siwezi kuzitaja..
 
Uislamu ndio usipime, ndio dini yenye maovu yanayomzidi shetani, leo hii Dunia haikaliki kisa uchafu na ugaidi wa kiislamu, ukizingatia muasisi wa uislamu yule muarabu alikuwa anagegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa pamoja na mauchafu yake mengine.
Uislamu ndio mpinga Kristo haswa aliyetabiriwa ujio wake utasababisha machafuko ya kila aina.
Hakuna unachoelewa mkuu,unachoongea hapo ni kashfa tupu!!,, ndivyo ulivyokaririshwa na dini yako,,unaweza ukaniambia ugaidi ni nini.
 
hii ni anguko kuu la taasisi nyeti kama kanisa na tutegemee matukio mengi ya kutisha ndani ya jamii.
 
Back
Top Bottom