Ulimwengu unatufundisha kitu tusichokielewa

Ulimwengu unatufundisha kitu tusichokielewa

Mkuu hapo juu kuna mahali umeweka link kuhusu ROHO
Nimekwenda nikakuta umeelezea sifa za roho na inachoweza kufanya
Lakini huja dadafua roho ni nini haswa

Hapa unasema ni nishati hai...... bado ni msamiati

Kwa jinsi mnavyoeleza kuhusu ROHO ni kama ni kitu fulani muhimu sana hivyo kitakuwa wazi

Binafsi nahakika sina ROHO mnayoitaja kila siku ila maisha yangu yanasongo

Inawezekana ninayo ila sijui
Hebu kwa lugha rahisi ROHO ni nini mkuu
Dadafua
Roho ni nishati kuna nishati za aina mbili nishati
Nishati ya uhai na nishati kwenye vitu vya kutengeneza
Nishati kwa lugha ya kiingereza ni energy na tafsiri ya energy ni hii... It can neither be created no destroyed Rather it can be transformed into another form
Nishati kuu ni ile pumzi ya uzima aliyopuliziwa mwanadamu baada ya uumbaji kukamilika .. Hii ndio imetawanyika kwa vitu vingine vyote ulimwenguni
Ni vigumu sana kusema huna roho je nini kinakufanya upumue?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jesus Christ

Ni cheo cha Yesu
Ok bhasi ngoja nikuongezee kitu ambacho unachanganya....

Neno christ limetokna na neno la Kigiriki χριστός (chrīstós) linalomaanisha Mpakwa mafuta (The anointed one to do some activities) hapa sijui umeelewa..

au kwa lugha ya Kihebrania מָשִׁיחַ (Mašíaḥ, messiah),
kwahiyo Christ/kristo/kristu ni sawa na kusema Masihi kwa kihebrania

Unaweza ukasoma Yohana 1:41-42 kupata refference zaidi ya kibiblia ukitaka..
Screenshot_20231028-075018.png


Sasa turudi tuangalia kina nani waliwahi kuwa masihi ama kristo...
Masihi hakuwahi kuwa mtu bali ni cheo cha watu...

Zaburi 105:14-15
"Hakumwacha mtu awaonee,
Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao. Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.."


Ntakutajia Masihi wachache u kama wanne hivi au watano!

Sauli ,Daudi, Samweli, Isaya Na wengi walikuwa masihi wa bwana ( yaani sauli alikuwa kristo) soma zaburi 2:2, zaburi 45:7, Isaya 61:1

1 Samweli 24:6-7

[6]Akawaambia watu wake, Hasha! Nisimtendee bwana wangu, masihi wa BWANA, neno hili, kuunyosha mkono wangu juu yake, kwa maana yeye ni masihi wa BWANA.

[7]Basi Daudi akawazuia watu wake kwa maneno hayo, asiwaache kumwondokea Sauli. Kisha Sauli akatoka pangoni, akaenda zake.
 
Ok bhasi ngoja nikuongezee kitu ambacho unachanganya....

Neno christ limetokna na neno la Kigiriki χριστός (chrīstós) linalomaanisha Mpakwa mafuta (The anointed one to do some activities) hapa sijui umeelewa..

au kwa lugha ya Kihebrania מָשִׁיחַ (Mašíaḥ, messiah),
kwahiyo Christ/kristo/kristu ni sawa na kusema Masihi kwa kihebrania

Unaweza ukasoma Yohana 1:41-42 kupata refference zaidi ya kibiblia ukitaka..
View attachment 2795296

Sasa turudi tuangalia kina nani waliwahi kuwa masihi ama kristo...
Masihi hakuwahi kuwa mtu bali ni cheo cha watu...

Zaburi 105:14-15
"Hakumwacha mtu awaonee,
Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao. Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.."


Ntakutajia Masihi wachache u kama wanne hivi au watano!

Sauli ,Daudi, Samweli, Isaya Na wengi walikuwa masihi wa bwana ( yaani sauli alikuwa kristo) soma zaburi 2:2, zaburi 45:7, Isaya 61:1

1 Samweli 24:6-7

[6]Akawaambia watu wake, Hasha! Nisimtendee bwana wangu, masihi wa BWANA, neno hili, kuunyosha mkono wangu juu yake, kwa maana yeye ni masihi wa BWANA.

[7]Basi Daudi akawazuia watu wake kwa maneno hayo, asiwaache kumwondokea Sauli. Kisha Sauli akatoka pangoni, akaenda zake.

Mkuu usitake ku complicate mambo

Wewe ni Mkristo kwasababu unafuata mafundisho ya Kristo

Kristo ni Yesu..... PERIOD

Hakuna Daudi Kristo waka Sauli Kristo
Kuna YESU KRISTO TU

Unapotaja neno Kristo moja kwa moja tunamaanisha Yesu na sio wapakwamafuta akina Sauli
 
Mkuu usitake ku complicate mambo

Wewe ni Mkristo kwasababu unafuata mafundisho ya Kristo

Kristo ni Yesu..... PERIOD

Hakuna Daudi Christo waka Sauli Christo
Kwanza mimi sio mkristo na kingine Usishupaze shingo kubishana na Ukweli Nahisi ungepaswa kujibu hoja zilizpo mezani kwako zilizowasilishwa kaa njia ya kitabu chako unachokiamini...

Vinginevyo ukizipinga nitaamini kwamba wewe pia unafata mkumbo kanisani na pia biblia Unaifundisha na sio biblia ikufundishe wewe...
Wakati Mwingine iache Biblia iwe Mwongozo wako na sio wewe uwe Mwongozo wa Biblia....

Hakuna Daudi Kristo 😅😅
Ila kuna Daudi masihi...
Hakuna sauli kristo ila kuna sauli masihi...

Kwanza unatakiwa ujue Kuhusu Tafsiri ya Biblia ukijua ndo uje kuenga hoja ...

NB: Hakuna sehemu nilipocomplicate mambo ila nachosema Ni kile kitu kilichopo Siku zote kuna ukweli Mmoja tu..

Ila ukilazimisha upate ukweli Wako ndani ya ukweli mwingine hapo Utaona kama kila kitu kina complicate...

Asante ilikuwa vizuri kujadiliana na Wewe....
 
Mkuu usitake ku complicate mambo

Wewe ni Mkristo kwasababu unafuata mafundisho ya Kristo

Kristo ni Yesu..... PERIOD

Hakuna Daudi Kristo waka Sauli Kristo
Kuna YESU KRISTO TU

Unapotaja neno Kristo moja kwa moja tunamaanisha Yesu na sio wapakwamafuta akina Sauli
Hapana!

Jitahidi ukubali kuelimika...

Na Emmanuel ni nani??
 
I think anamaanisha Christ conciousness![emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani kaka mshana ,nilisha wahi kuja inbox kwakoo ukanisaidia kuhusiana na nyota,,,Nina shida naomba unielekeze kama ni tatizo au laa,, kila navoo endaa kazini asubuhi huwà natumia pkpk ,,napita kwenye pori na Kuna ndegee anae fanana na njiwa pori ,,yule amekaa kama amelembwa na mzuri sanaa jina lake halisi silijui,,huwaa anapita mbele yangu kwa kukatizaa kila nikifika eneo hilo anapita mbele yanguu kiasi ningekua na shida ya kumkamata nawezaa usawaa kabisa na kichwaa changu kwa mwendo wa taratibu ,,huwà inanistua na kunifikirisha kua ni mikosi au bahati ,,nikiwaa kwenye pkpk naweza kunshika na bila kuteteleka ,,naomba kujua kama ni ishara mbaya au kawaida ni Zaid ya mara nne .
 
Hapana!

Jitahidi ukubali kuelimika...

Na Emmanuel ni nani??

Emanuel maana yake Mungu pamoja nasi

Wewe umewahi kusikia au kusoma wapi Daudi kristo au Sauli kristo?

Utakua umesoma Sauli/daudi mpakwa mafuta..... Yes

Nakubaliana na asili ya neno Christ lakini matumizi yamekua tofauti

Dunia ya leo unapotaja CHRIST unakua unamaanisha Yesu kristo, kwasababu wakristo wanaamini Yesu ni zaidi ya mpakwa mafuta(anointed)
Hayupo daraja moja na akina sauli na daudi

Ukisikia “christ for all nations” maana yake Yesu kwa mataifa yote
 
Kwanza mimi sio mkristo na kingine Usishupaze shingo kubishana na Ukweli Nahisi ungepaswa kujibu hoja zilizpo mezani kwako zilizowasilishwa kaa njia ya kitabu chako unachokiamini...

Vinginevyo ukizipinga nitaamini kwamba wewe pia unafata mkumbo kanisani na pia biblia Unaifundisha na sio biblia ikufundishe wewe...
Wakati Mwingine iache Biblia iwe Mwongozo wako na sio wewe uwe Mwongozo wa Biblia....

Hakuna Daudi Kristo [emoji28][emoji28]
Ila kuna Daudi masihi...
Hakuna sauli kristo ila kuna sauli masihi...

Kwanza unatakiwa ujue Kuhusu Tafsiri ya Biblia ukijua ndo uje kuenga hoja ...

NB: Hakuna sehemu nilipocomplicate mambo ila nachosema Ni kile kitu kilichopo Siku zote kuna ukweli Mmoja tu..

Ila ukilazimisha upate ukweli Wako ndani ya ukweli mwingine hapo Utaona kama kila kitu kina complicate...

Asante ilikuwa vizuri kujadiliana na Wewe....

Nilikua Mkristo, kwasasa sina imani yoyote

Kuna asili ya neno na kuna matumizi ya neno
Maneno yanabadilika matumizi kila uchwao kwasababu ya muda, tafsiri kutoka lugha moja hadi nyingine, imani nk nk

Ni kweli limetoholewa kwenye tafsiri ulio itoa lakini linavyo tumika sasa kulingana na IMANI kunautofauti na asili yake

Complication itakuja pale utakapo taka tumia maana ya asili ya neno dhidi ya maana inayotumika sasa

Ndio nikakwambia kuna Yesu kristo tu hakuna Daudi kristo

Nikitaka kulazimisha maana ya asili naweza kuita Daudi kristo pia

Unapo taja Christ kwa matumizi ya dunia ya leo unamaanisha YESU na ndio chanzo cha CHRISTIANITY yaani ufuasi wa Yesu

Ulitakiwa upinge hoja yangu kwa hoja na sio kunishambulia NAKOMAZA SHINGO

Lakini pia wakati mwingine sio swala la ukweli au uongo..... its just a matter of opinions
 
Nilikua Mkristo, kwasasa sina imani yoyote

Kuna asili ya neno na kuna matumizi ya neno
Maneno yanabadilika matumizi kila uchwao kwasababu ya muda, tafsiri kutoka lugha moja hadi nyingine, imani nk nk

Ni kweli limetoholewa kwenye tafsiri ulio itoa lakini linavyo tumika sasa kulingana na IMANI kunautofauti na asili yake

Complication itakuja pale utakapo taka tumia maana ya asili ya neno dhidi ya maana inayotumika sasa

Ndio nikakwambia kuna Yesu kristo tu hakuna Daudi kristo

Nikitaka kulazimisha maana ya asili naweza kuita Daudi kristo pia

Unapo taja Christ kwa matumizi ya dunia ya leo unamaanisha YESU na ndio chanzo cha CHRISTIANITY yaani ufuasi wa Yesu

Ulitakiwa upinge hoja yangu kwa hoja na sio kunishambulia NAKOMAZA SHINGO

Lakini pia wakati mwingine sio swala la ukweli au uongo..... its just a matter of opinions

Lini matumizi hayo Yalibadilika Maana nimekupa Fungu
Yohana 1:41-42

Lipitie halafu nipe maana yake....

Tatizo kubwa wanalofanya Wachungaji wa Sasa ni kuuficha ukweli..Hawafundishi kuhusu Church history...
Kipindi cha Agano la kale hakukuwa na neno linaloitwa Kristo hata kidogo na hata kipindi cha Yesu Pia...

Yesu alikuwa Myahudi Anayeongea KiAramaic na hakuwahi kuongea Kiyunani (Kigiriki) kwahyo hakuna sehemu aliwahi kujiita kristo ila alijiita masihi...

Kwanza hata jina lake ni yehoshua..
Ila wajanja walitaka kumfanya Special na kumtofautisha na Yeshoshua bin Nun na Pia masihi wengine ndo wakatohoa lugha ...

Biblia ilibadilishwa kwa lugha ya Kigiriki ndo mwanzo wa kutajwa neno kristo kipindi hicho.....

KAMA UNAFAHAMU KUHUSU HISTORY YA BIBLE TRANSLATION IN SEPTUAGANT"

NINAONGEA KWA MLENGO WA KUJUA NINACHOKISEMA
 
Lini matumizi hayo Yalibadilika Maana nimekupa Fungu
Yohana 1:41-42

Lipitie halafu nipe maana yake....

Tatizo kubwa wanalofanya Wachungaji wa Sasa ni kuuficha ukweli..Hawafundishi kuhusu Church history...
Kipindi cha Agano la kale hakukuwa na neno linaloitwa Kristo hata kidogo na hata kipindi cha Yesu Pia...

Yesu alikuwa Myahudi Anayeongea KiAramaic na hakuwahi kuongea Kiyunani (Kigiriki) kwahyo hakuna sehemu aliwahi kujiita kristo ila alijiita masihi...

Kwanza hata jina lake ni yehoshua..
Ila wajanja walitaka kumfanya Special na kumtofautisha na Yeshoshua bin Nun na Pia masihi wengine ndo wakatohoa lugha ...

Biblia ilibadilishwa kwa lugha ya Kigiriki ndo mwanzo wa kutajwa neno kristo kipindi hicho.....

KAMA UNAFAHAMU KUHUSU HISTORY YA BIBLE TRANSLATION IN SEPTUAGANT"

NINAONGEA KWA MLENGO WA KUJUA NINACHOKISEMA

Mkuu kwa muktadha wa maelezo yako unakubaliana na mimi kuwa maneno yanakwenda na kubadilika maana kulingana na tafsiri, uptoshaji, imani nk nk

Neno KRISTO dunia ya leo linamaanisha YESU.
Ama limeoptoshwa au lina maana zaidi ya hiyo lakini maana inayotumika sasa ni YESU

Hakuna namna unaweza kutaja Kristo na usiwe unamaanisha YESU

YH 1:41-42 inasema kuhusu Yesu mpakwa mafuta na ikasisitiziwa kwenye mabano yaani Christo
Ni kweli mpakwa mafuta ndio christo
Na ndio wakristo wanatumia kristo kumaanisha cheo cha Yesu tu

Kwani maana ya Christianity ni nini?
Si ni wafuasi wa Yesu?

Mpakwa mafuta ipo palepale lakini Kristo refer to only Jesus

Turudi kwenye mada
“Ufahamu wa kristo alimaanisha” nini labda?
 
Mkuu kwa muktadha wa maelezo yako unakubaliana na mimi kuwa maneno yanakwenda na kubadilika maana kulingana na tafsiri, uptoshaji, imani nk nk

Neno KRISTO dunia ya leo linamaanisha YESU.
Ama limeoptoshwa au lina maana zaidi ya hiyo lakini maana inayotumika sasa ni YESU

Hakuna namna unaweza kutaja Kristo na usiwe unamaanisha YESU

YH 1:41-42 inasema kuhusu Yesu mpakwa mafuta na ikasisitiziwa kwenye mabano yaani Christo
Ni kweli mpakwa mafuta ndio christo
Na ndio wakristo wanatumia kristo kumaanisha cheo cha Yesu tu

Kwani maana ya Christianity ni nini?
Si ni wafuasi wa Yesu?

Mpakwa mafuta ipo palepale lakini Kristo refer to only Jesus
Nimejua mlengo wako and you POV
 
Turudi kwenye mada

Mleta mada aliposema “UFAHAMU WA KRISTO” alimaanisha nini?
Ni christ Consiousness Means ufahamu wa kristo..

Ni maelezo marefu sana ila ntafupisha kwamba kila mwanadamu aliumbwa kuja Duniani Kupitia Experience fulani (Kipekee) na kufanya kazi aliyopangiwa kuifanya (Kipekee)..

Ramani na makubaliano ya kazi hiyo huwa tayari imeandikwa...

Na binadamu ni yule tu atakayeweza kuamsha Ufahamu wa Kiroho na kufikia Usawa au level ya ufahamu wa Christ (Christ consiousness) ndiye hutambua Hasa kwa nini kaja na lengo ls kuja duniani...

Na ndo maana Watu wote walioamsha hizo level huwa na Mafundisho Aidha yaliyosawa au Yanayofanana...
Krishna (Kma ulibahatika kusoma Bhaghavad Gita) ana ufanano wa mafundisho Kwa asilimia 80 na Yesu wa kwenye biblia vivo hivyo Horus ,Isis Na wengineo...

Mtume paulo baada ya Kuamsha Hiyo Nguvu alitamani Wayahudi wote kipindi hicho waone anachoona yeye...

Maana alikuwa anaamini kwa njia ya chini sana....
Ukisoma 1 Wakorintho 13:9-12

"Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu; lakini ijapo ile iliyo kamili, iliyo kwa sehemu itabatilika. Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto. Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana."

Na ndo maana Kuna wakati alipokuwa akielezea kuhus Maswala ya Melkizedeki Watu hawakumwelewa kwa sababu aliongea vitu vilivyo nje ya ufahamu wa kawaida (Normal Consiousness) na yey aligundua na ndo maana aliwajibu..

Waebrania 5:11

"Ambaye tuna maneno mengi ya kunena katika habari zake; na ni shida kuyaeleza kwa kuwa mmekuwa wavivu wa kusikia.Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya."


Kwa kuhitimisha Hata ndo maana nilikuuliza kama una ufahamu wowote kuhusu Zaburi 23...
Hiyo ndo ina siri kubwa hasa kuhusu umasihi (Christ Consiousnesz)
Kaa kifupi ni kwamba ni hatua ya Juu ya utambuzi inayowekwa kama hatua ya Ukombozi wa kifikra Ya mwanadamu...
 
Ni christ Consiousness Means ufahamu wa kristo..

Ni maelezo marefu sana ila ntafupisha kwamba kila mwanadamu aliumbwa kuja Duniani Kupitia Experience fulani (Kipekee) na kufanya kazi aliyopangiwa kuifanya (Kipekee)..

Ramani na makubaliano ya kazi hiyo huwa tayari imeandikwa...

Na binadamu ni yule tu atakayeweza kuamsha Ufahamu wa Kiroho na kufikia Usawa au level ya ufahamu wa Christ (Christ consiousness) ndiye hutambua Hasa kwa nini kaja na lengo ls kuja duniani...

Na ndo maana Watu wote walioamsha hizo level huwa na Mafundisho Aidha yaliyosawa au Yanayofanana...
Krishna (Kma ulibahatika kusoma Bhaghavad Gita) ana ufanano wa mafundisho Kwa asilimia 80 na Yesu wa kwenye biblia vivo hivyo Horus ,Isis Na wengineo...

Mtume paulo baada ya Kuamsha Hiyo Nguvu alitamani Wayahudi wote kipindi hicho waone anachoona yeye...

Maana alikuwa anaamini kwa njia ya chini sana....
Ukisoma 1 Wakorintho 13:9-12

"Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu; lakini ijapo ile iliyo kamili, iliyo kwa sehemu itabatilika. Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto. Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana."

Na ndo maana Kuna wakati alipokuwa akielezea kuhus Maswala ya Melkizedeki Watu hawakumwelewa kwa sababu aliongea vitu vilivyo nje ya ufahamu wa kawaida (Normal Consiousness) na yey aligundua na ndo maana aliwajibu..

Waebrania 5:11

"Ambaye tuna maneno mengi ya kunena katika habari zake; na ni shida kuyaeleza kwa kuwa mmekuwa wavivu wa kusikia.Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya."


Kwa kuhitimisha Hata ndo maana nilikuuliza kama una ufahamu wowote kuhusu Zaburi 23...
Hiyo ndo ina siri kubwa hasa kuhusu umasihi (Christ Consiousnesz)
Kaa kifupi ni kwamba ni hatua ya Juu ya utambuzi inayowekwa kama hatua ya Ukombozi wa kifikra Ya mwanadamu...
Kwa kuhitimisha Hata ndo maana nilikuuliza kama una ufahamu wowote kuhusu Zaburi 23...
Hiyo ndo ina siri kubwa hasa kuhusu umasihi (Christ Consiousnesz)
Kaa kifupi ni kwamba ni hatua ya Juu ya utambuzi inayowekwa kama hatua ya Ukombozi wa kifikra Ya mwanadamu...[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni christ Consiousness Means ufahamu wa kristo..

Ni maelezo marefu sana ila ntafupisha kwamba kila mwanadamu aliumbwa kuja Duniani Kupitia Experience fulani (Kipekee) na kufanya kazi aliyopangiwa kuifanya (Kipekee)..

Ramani na makubaliano ya kazi hiyo huwa tayari imeandikwa...

Na binadamu ni yule tu atakayeweza kuamsha Ufahamu wa Kiroho na kufikia Usawa au level ya ufahamu wa Christ (Christ consiousness) ndiye hutambua Hasa kwa nini kaja na lengo ls kuja duniani...

Na ndo maana Watu wote walioamsha hizo level huwa na Mafundisho Aidha yaliyosawa au Yanayofanana...
Krishna (Kma ulibahatika kusoma Bhaghavad Gita) ana ufanano wa mafundisho Kwa asilimia 80 na Yesu wa kwenye biblia vivo hivyo Horus ,Isis Na wengineo...

Mtume paulo baada ya Kuamsha Hiyo Nguvu alitamani Wayahudi wote kipindi hicho waone anachoona yeye...

Maana alikuwa anaamini kwa njia ya chini sana....
Ukisoma 1 Wakorintho 13:9-12

"Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu; lakini ijapo ile iliyo kamili, iliyo kwa sehemu itabatilika. Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto. Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana."

Na ndo maana Kuna wakati alipokuwa akielezea kuhus Maswala ya Melkizedeki Watu hawakumwelewa kwa sababu aliongea vitu vilivyo nje ya ufahamu wa kawaida (Normal Consiousness) na yey aligundua na ndo maana aliwajibu..

Waebrania 5:11

"Ambaye tuna maneno mengi ya kunena katika habari zake; na ni shida kuyaeleza kwa kuwa mmekuwa wavivu wa kusikia.Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya."


Kwa kuhitimisha Hata ndo maana nilikuuliza kama una ufahamu wowote kuhusu Zaburi 23...
Hiyo ndo ina siri kubwa hasa kuhusu umasihi (Christ Consiousnesz)
Kaa kifupi ni kwamba ni hatua ya Juu ya utambuzi inayowekwa kama hatua ya Ukombozi wa kifikra Ya mwanadamu...

Aiseeeee

Mkuu let me get busy kusaka hela nifurahie maisha na niwapendao

Haya mambo ya rohoni niwaachie wenyewe [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwanza unathibitishaje huo ufahamu wa kristo upo?

Na umejuaje ufahamu huo wa kristo uko juu zaidi ya ufahamu na utambuzi wetu?

kama ufahamu huo wa kristo uko juu zaidi ya ufahamu wetu na utambuzi wetu, Aliyesema ufahamu huo wa kristo upo yeye alifahamu vipi?

Alitumia ufahamu gani?
😂 Mkaushie man.. mwenyewe nimesoma nimekausha.. just potezea coz kasema hagusi dini
 
Ni christ Consiousness Means ufahamu wa kristo..

Ni maelezo marefu sana ila ntafupisha kwamba kila mwanadamu aliumbwa kuja Duniani Kupitia Experience fulani (Kipekee) na kufanya kazi aliyopangiwa kuifanya (Kipekee)..

Ramani na makubaliano ya kazi hiyo huwa tayari imeandikwa...

Na binadamu ni yule tu atakayeweza kuamsha Ufahamu wa Kiroho na kufikia Usawa au level ya ufahamu wa Christ (Christ consiousness) ndiye hutambua Hasa kwa nini kaja na lengo ls kuja duniani...

Na ndo maana Watu wote walioamsha hizo level huwa na Mafundisho Aidha yaliyosawa au Yanayofanana...
Krishna (Kma ulibahatika kusoma Bhaghavad Gita) ana ufanano wa mafundisho Kwa asilimia 80 na Yesu wa kwenye biblia vivo hivyo Horus ,Isis Na wengineo...

Mtume paulo baada ya Kuamsha Hiyo Nguvu alitamani Wayahudi wote kipindi hicho waone anachoona yeye...

Maana alikuwa anaamini kwa njia ya chini sana....
Ukisoma 1 Wakorintho 13:9-12

"Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu; lakini ijapo ile iliyo kamili, iliyo kwa sehemu itabatilika. Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto. Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana."

Na ndo maana Kuna wakati alipokuwa akielezea kuhus Maswala ya Melkizedeki Watu hawakumwelewa kwa sababu aliongea vitu vilivyo nje ya ufahamu wa kawaida (Normal Consiousness) na yey aligundua na ndo maana aliwajibu..

Waebrania 5:11

"Ambaye tuna maneno mengi ya kunena katika habari zake; na ni shida kuyaeleza kwa kuwa mmekuwa wavivu wa kusikia.Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya."


Kwa kuhitimisha Hata ndo maana nilikuuliza kama una ufahamu wowote kuhusu Zaburi 23...
Hiyo ndo ina siri kubwa hasa kuhusu umasihi (Christ Consiousnesz)
Kaa kifupi ni kwamba ni hatua ya Juu ya utambuzi inayowekwa kama hatua ya Ukombozi wa kifikra Ya mwanadamu...
@DR Mambo AMP na Mayu nyote Mna Elimu BORA KABISA!

Kukosekana kwa Ufahamu huu kumesababisha GIZA kabisaa katika maisha ya WANADAMU!

Hili giza limesababisha MAMBO MAKUBWA KUSHINDWA KUTOKEA!

CHRIST CONSCIOUSNESS ni ile ambayo LEO HII MTU WA NAMNA HIYO HASHINDWI KUMUELEZEA NABII IBRAHIM licha ya kwamba ni uzao wa kizazi cha leo!

WAKO watu wako kwenye level hiyo hata sasa na haimaanishi ni wa Dini gani!

REMEMBERING...RE-member...become a MEMBER again...as you were a Member before...REMEMBERING..AWARENESS.. ALL THESE ARE the qualities of CHRIST CONSCIOUSNESS.


ELIMU na iendelee!
 
@DR Mambo AMP na Mayo nyote Mna Elimu BORA KABISA!

Ufahamu huu imesababisha GIZA kabisaa katika maisha ya WANADAMU!

Hili giza limesababisha MAMBO MAKUBWA KUSHINDWA KUTOKEA!

CHRIST CONSCIOUSNESS ni ile ambayo LEO HII MTU WA NAMNA HIYO HASHINDWI KUMUELEZEA NABII IBRAHIM licha ya kwamba ni uzao wa kizazi cha leo!

WAKO watu wako kwenye level hiyo hata sasa na haimaanishi ni wa Dini gani!

REMEMBERING...RE-member...become a MEMBER again...as you were a Member before...REMEMBERING..AWARENESS.. ALL THESE ARE the qualities of CHRIST CONSCIOUSNESS.


ELIMU na iendelee!
Mkuu Hii nimeipenda Saana
 
Back
Top Bottom