Hapa zipo satellite 2,na tofauti ya longitude degree ni 1 tu, je naweza kupata zote kwa lnb moja? Au nitakuwa sipat signal bora?
Huyu jamaa ameanzisha somo ambalo kamwe wanafunzi hawawezi kufaulu mtihani.,kwa vigezo vifuatavyo.
1.Kuna aina nyingi za madish na ufungaji wake,kuna mwanafunzi anaweza kushindwa hata kuunganisha dish tu.
2.Kuna aina nyingi sana za Satellate Receiver na kila receiver ina installation zake,kwamfano:MEDIA COM na aina zake ni tofauti na SAMSUNG,HAWK,STRONG,NOKIA,WIZTECH,AIRSTAR,ARISAT,MEGABOX,EUROBOX,na nyingine nyingi.
3.Kuna aina nyingi sana za LNBF na kila moja ina uelekeo tofauti na mwenzake,unavyofunga GULFSTAR ni tofauti na EUROSTAR,au DIPLOSAT.kwa ujumla kuna aina za lnbf kama 20 hivi.
4.Lazima uwe unafahamu frq na syimborate za kila chanel
Sasa huyu jamaa anaanzisha mjadara ambao hakuna atakae faulu labda kwa ambaye ni fundi hawali.Hebu fikiria yeye mpaka amekuwa fundi wa kuweza kufunga imemchukua mda gani? Hapa mimim ni fundi(installer)mpaka hivi sasa na mafundi wengineo watkubali kuwa mziki wa kufunga dish ulivyo mkubwa mpaka unaomba ushauri.Ushauri wangu afungue chuo kabisa manake ili somo linahitaji na practical sio theory tu. Ndugu utaulizwa maswali hadi utakimbia,labda kama huna shughuli nyingine wewe na JF labda ni mwanahisa.NAWAKILISHA KWA DARASA.
Namaanisha Eutelsat 16 na Amos 5. Hizi zipo ktk mwelekeo mmoja na tofaut ya degree ni 1 tu,16 E na 17 E.hapo unapomaanisha ni wapi? Pataje. Na satellite zipi? Zitaje.
Nashukuru kaka. Huu jamaa anatakiwa aelewe kuwa mtu hatakiwi kuwa na vitu vingi ndipo amsaidie mwenzake.Nimetoa kidogo nilichonacho kwa mwenzangu, nikipata kikubwa nitatoa zaidiInaonesha nawe ni mtaalamu lakini mwenye uchoyo wa technology, kimsingi hutaki watu wajue utaalamu wa madishi kwa sababu unazozijua mwenyewe, Ila umesimama kuwabeza wenzako wanaojaribu kuwajuza watu . japokuwa kweli umesema kuna maeneo hajaelezea vizuri ,nadhani imetokana na wide varieties za tools zinazotumika ,hawezi kujua kila kitu , na nina uhakika hata wewe mwenyewe hujui kila kitu. ARSELONA amejitahidi sana kufafanua ,Lets give credit where credit is due!
Kaka 2mefungwa lakini basi ndo mpira. Kuhusu AD sports unahitaji offset dish la ukubwa angalau 4ft na high gain ku-lnb utakuta imeandikwa 0.3dB
Kaka 2mefungwa lakini basi ndo mpira. Kuhusu AD sports unahitaji offset dish la ukubwa angalau 4ft na high gain ku-lnb utakuta imeandikwa 0.3dB
Kaka 2mefungwa lakini basi ndo mpira. Kuhusu AD sports unahitaji offset dish la ukubwa angalau 4ft na high gain ku-lnb utakuta imeandikwa 0.3dB
cna uhakika kama ar600 ina key edit. Tembelea hapa kupata keys donglesat.com/biss.htm
Bila shaka maisha yanaendelea ingawa uzi we2 tumeususia kidogo, hii inatokana na kubanwa na shughuli mbalimbali za ujenzi wa taifa. Leo nina ofa ya kuwapa na nataraji mtaipenda. Baada ya wiki mbili kuanzia leo nitakuwa na ricva za strong srt 4922 na astrovox vsr ambazo ntaziuza kwa gharama ya kawaida kabisa. Kwa waishio moro town nitawapa ofa ya kuwafungia madish yao bure kama watapenda ku2mia kwa kuangalia boli. Anayependa kuikaribisha burudan sebulen kwake anaweza kunipm au kupitia 0786617617 kwan ndiko nilikohamia siku hizi.
Ni kweli bro haiingii akilin kabisa. Bado napatikana mzumbe na natamani sana kuonana na wana jf. Nafikiria kuandaa tamasha la sat hunting mjin moro mwezi july kama itawezekana.pesa ya kununua kwa sasa sina ila ni vizuri tukaonana mkuu aiwezekani nikae moro na wewe ukae moro alafu atujuani hiyo ngumu. Unapatikana mtaa gani ?au kama ulivyosema mwaka jana mzumbe ?
Ni kweli bro haiingii akilin kabisa. Bado napatikana mzumbe na natamani sana kuonana na wana jf. Nafikiria kuandaa tamasha la sat hunting mjin moro mwezi july kama itawezekana.
Ni kweli bro haiingii akilin kabisa. Bado napatikana mzumbe na natamani sana kuonana na wana jf. Nafikiria kuandaa tamasha la sat hunting mjin moro mwezi july kama itawezekana.
Kwa anayepata Amos 5,je active frequencies kwa sasa ni zipi? Na ni chnls gani/zipi za maana zinapatikana? Hasa kwa wale waliopo Dar. Tafadhali. Na pia ipi bora kwa chnls kati ya Amos 5 na Eutelsat 16A. Kama unashika Eutelsat 16A pia nijuze active frequencies zilizopo kwa sasa. Na offset dish ya zaidi ya cm 90 si ndiyo bora zaidi?
cheki 12216 v 27500
12335 v 27500
unaweza kupata AMOS 5 na 16A kwa dish 1 la cm90 na LNB 1. Kama utakuwa na MPEG 4 utapata chaneli zaidi ya 100.