Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Nina decoder ya astrovox HD 9000. Naweza kupata wapi softwere ya unlock channel?

bila shaka unataka biss key edit menu. Jaribu 1510. Aidha rcv yako inaweza kusapoti dongle adaptor
 
bila shaka unataka biss key edit menu. Jaribu 1510. Aidha rcv yako inaweza kusapoti dongle adaptor

Ahsante. Ngoja nikajaribu huo ufunguo. Ila kuna decoder niliyo kuwa natumia mara ya kwanza nilikuwa natumia dongle ya dish ila kwa sasa haifanyi kazi, ndiyo nikanunu hilo reciever
 

kwa mwelekeo huu huwezi pata movies na musics. Tafuta rcva ya mpeg4 hd na ubadilishe mweleo. Ukipata rcva nijulishe
 
kwa mwelekeo huu huwezi pata movies na musics. Tafuta rcva ya mpeg4 hd na ubadilishe mweleo. Ukipata rcva nijulishe

Mr Arselona tell us where can we enjoy fta channels for Music and Movies. I 've an Mpeg4 Hd receiver already. Strong Srt 4930L HD.
 
Mr Arselona tell us where can we enjoy fta channels for Music and Movies. I 've an Mpeg4 Hd receiver already. Strong Srt 4930L HD.

bro i sent u a pm to ur inbox
 
utafiti niliofanya kupitia wa2 nilipata bahati ya kuongea nao kuhusu upatikanaji wa rcva nzuri na ma2mizi yake kiasi kikubwa wanaonyesha shauku ya kupazipata ila kikwazo kimekuwa ni ufinyu wa bageti zao. Kwa kulitambua hilo ningependa kuwajulisheni kuwa mnaweza kuzipata toka kwangu original astrovox vsr 9155 hd rcva kwa tsh 150000/=. Kwa waliobahatika kununua srt 4922A wanaelewa ninachomaanisha. Lengu langu kubwa ni kuhakikisha wa2 wengi wanabaki home kuangalia sports. 2kiweza jamaa wa d**v itawalazimu kupunguza gharama zao.
 
Mr Arselona tell us where can we enjoy fta channels for Music and Movies. I 've an Mpeg4 Hd receiver already. Strong Srt 4930L HD.

bro i sent u a pm to ur inbox
 
mkuu arselona nimefanikiwa kununua strong receiver ya humax ir 3020 kutoka kampala jana, je nawezaje kupata hizo channel za muvies na sports especially epl? mimi nipo bukoba kagera. thanx in advance
 
sorry ni receiver ya humax sio strong kama nilivyoandika japo juu.

bila shaka ina kadi ya ADS. Unaweza pia nunua kadi ya aljazeera.The cons of the box is that it cannot patch. It is a good buy anyway.
 
mkuu arselona ni kweli ina kadi ya abu dhabi sports japo sitegemei kuwa nailipia mara itakapokata! naomba kujua je nawezaje kupata fta za sports hasa epl na za muvies? na je kutokuwa na uwezo wa ku patch itanifanya nikose channels zipi?
 
mkuu arselona ni kweli ina kadi ya abu dhabi sports japo sitegemei kuwa nailipia mara itakapokata! naomba kujua je nawezaje kupata fta za sports hasa epl na za muvies? na je kutokuwa na uwezo wa ku patch itanifanya nikose channels zipi?

irib tvs na ptv. Lkn coni 7bu ya ww kutaka chanels zingine kwan una mbc kibao za muvi
 
inaonekana kama vle nimelitelekeza darasa. Kwa kweli ckuwa na muda wa kutosha kufanya maandalio ya masomo kutokana na kutingwa na shughuli mbalimbali pale MU. Naahidi nikimaliza mitihani nitakuja na mada ya kuweka ungo bila jasho. Muwe tayari. Ila mniahidi kwa na ninyi mkipata elimu hii muwape pia wengine wenye kuihitaji bure au muwaambie ni wapi mliipata.
 
kwa mwelekeo huu huwezi pata movies na musics. Tafuta rcva ya mpeg4 hd na ubadilishe mweleo. Ukipata rcva nijulishe

Mkuu ninayo rcva ya mpeg4 hd uelekeo gani ntapata chanel za maana, sports, series documentary, muv nk. Nina dish la ft 6
 
Mkuu ninayo rcva ya mpeg4 hd uelekeo gani ntapata chanel za maana, sports, series documentary, muv nk. Nina dish la ft 6

kusema tu rcva ya mpeg4 hd haitosha, kama hutojali tutajie brand na model ya rcva yako. Asante.
 
hello wadau. wiki 2 zilizopita nilifanya safari kutoka dar kwenda mzumbe moro kukutana na mtaalam arselona kwa ajili ya kwenda kuchukua srt 4922 ambayo nilinunua kwake kwa kumtumia pesa kwenye simu nikiwa dar. nilifanikiwa kumuuliza mambo mengi ya satelites, receivers nk. kwa kweli nilifanikiwa kupata mambo mengi ya kitaalam kutoka kwake. arselona anajua mambo mengi sana na yupo tayari kutusaidia na sisi wengine kuyafahamu. wadau naomba tuzidi kumpa ushirikiano wa kutosha mtaalam wetu arselona. bravo arselona.
 
kusema tu rcva ya mpeg4 hd haitosha, kama hutojali tutajie brand na model ya rcva yako. Asante.

Asante kaka Arselona ni Arisat Ar600 mpeg4 hd kuna fundi kanifungia na dish la ft3 kwenye Eutelsat W4/7W dish limegeukia magharibu napata chanel za fta 13 tu, itv, tbc, star tv, ebru, setanta, nk ila bado nina dish la ft6 cjalifunga, msaada wako kaka.
 
Last edited by a moderator:

Hizo channel unazopata ziko eutelsat 36°e na sio 7 °w .
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…