Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
Mmmhh!! Navyo fahamu hamna satellite kaskazini maana satellite zipo mstari wa Ikweta Mashariki kwenda Magharibi tu!hivi wadau dish la dstv linalogeukia kaskazini huwa nikatika satellite gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhh!! Navyo fahamu hamna satellite kaskazini maana satellite zipo mstari wa Ikweta Mashariki kwenda Magharibi tu!hivi wadau dish la dstv linalogeukia kaskazini huwa nikatika satellite gani?
Nikweli kwa macho ya kawaida inaelekea kaskazini،lakini ukwelia ni kwambahivi wadau dish la dstv linalogeukia kaskazini huwa nikatika satellite gani?
unaweza kupata Yahsat kwa dish la ku 130cm au c 180cm na lnb ya fuji stargoldWakuu naombeni msaada nafuta Yahsat 1A @52°E...vp ni dish lipi linafaa??
kaka arselona Hiv lnb za Fuji ni shilling ngapi hapa tz
Wazee mimi nimeamua kutundika daluga baada ya kuitafuta Yahyasat na Nilesat bila matumaini kwa takriban wiki sasa......
Samahani ebu weka basi hata picha ya dish linavyokaa.Mbona unakata tamaa kirahisi hivo??? Wiki mbili tu manyanga chini !!! Mwenzio nilispend karibu miezi 3 kuipata nilesat ,sometimes unaweza ukawa unatumia wrong tools ku hunt ...
By the way weka.location yako nijue......
hii ndio nini mkuu! LNB au nini? naomba shule kidogo.
Amos 5 uzi umengaaaaaaab.Wakubwa!!!!ni sat gan naweza kuipata NatGeo for free?receiver ni ile ile Astrovox Mpge4
Wadau mbona kimya?