Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,856
- 814
Wakuu ni kweli kuwa ukiwa na dish dogo la Azam au star times na rcva yoyote mpeg4 unapata local chanels for free?
hapa cc vumbi tu, ukifuatilia nyayo tunatembea na fagio au co cds? Hapa ni sayansi na tekno tu, ni mbinu za kuwinda tu na c kuiba. Amini amini nawaambie uzi huu na ule wa mkubwa kungu1 hazita pitwa na wakati mpaka kufungwa kwa JF(sitaki itokee JF ipotee kama RDI mpendwa we2). Arselona akipotea leo Mavella Dima.com Kibukila tusichoke na wengine kibao wanasongesha. FTA na idumu. Bwan cds chaneli ulizozitaja zipo kwenye intelsat 20 cband beam. Cna uhakika sana kama zote bado ziko fta. Tembelea flysat.com> sat list>intelsat20 na utapata list ya chnls na tps/srs
ndio tena nyingi zaidi ya zile uzipatazo ktk dish kubwa mkuu
njuwa pole sana maana unapata local 2 tu.karibia mwezi mmoja tunainjoi na package yenye chanel zote za continental kupitia amos5 mkuu.hizi hapa freq zake 10972 v 29999 ma nyingine zaidi zikiwemo ting na nyinginezo fuatilia link hii Amos 5 at 17.0°E - LyngSat
Hivi zaidi ya eutulsat7@7e na Amos 5@17e nisatellite gani nyingine naweza kupata kwenye dishi la ft6 ? Msaada wenu wanajamii.
Hbr Charles
Ases@4.8e iko chini kdogo ya eutulsat7@7e.na 7w iko juu kdogo ya 7e na pia hapo hapo cband unapata arabsat5@20
Sasa kaka ungefanya kama kuweka frequency za arabsat ambayo ni C-band ndo nitafute hizo nyinge. Natanguliza shukrani.
Mkuu mimi nina dish na receiver ya zuku,nina anzia wapi ili niweze kupata channel zote za DSTV?Nijulishe kwa kina na lugha nyepesi mkuu.njuwa pole sana maana unapata local 2 tu.karibia mwezi mmoja tunainjoi na package yenye chanel zote za continental kupitia amos5 mkuu.hizi hapa freq zake 10972 v 29999 ma nyingine zaidi zikiwemo ting na nyinginezo fuatilia link hii Amos 5 at 17.0°E - LyngSat
Hbr Charles
4054/27500v
Aksante nitajaribu baadae kaka.
Nimeipata arabsat ndo kuna irib tvs ila sijafanikiwa kupata za KU band ipi yenye channel nzuri na frequency zake kaka. Nilipata Ku band Mona ina pay TVs FTA ilikuwa Chanel za CCTV pekee. Sasa kutoka pale naelekea pande gani?
Charles
Hbr
Kata holder cband nyuma ya dish weka KU hapo ipo Amos@17e na 16e tp 10972/29999v na 10804/30000h ukimaliza taongelea kupata engo ya Azam7e
Charles
Hbr
Kata holder cband nyuma ya dish weka KU hapo ipo Amos@17e na 16e tp 10972/29999v na 10804/30000h ukimaliza taongelea kupata engo ya Azam7e
Charles kazi nzuri watupie wenzio picha waone basi jitihada zako .ni pm