- Namwomba Mwenye ujuzi na Astra 2F Atusaidie ujuzi wa kuinasa!!!ikiwezekana atupie picha ya dish linaloitajika na mwelekeo wake na size ya dish,Natokea Arusha Mjini
Beam yake inaishia baadhi ya maeneo ya mkoa wa Singida.Kuipata Arusha jaribu ungo wa ft6 na lnb yenye nguvu kama stargold fuji.

