Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii km unatumia ungo wa ft6 utaipata vizuri channels maarufu hapo ni mult tv maarufu tv 3 Ghana mf mimi nina ungo ft6 nimefunga lnb4 pamoja main ikiwa ni irib iliyopo arabsat ktk cband,Continental iliyoko Amos5,movie combo za ses5 pamoja na hiyo mult tv iliyoko Astra2f@28 nakuwekea picha ya dish langu
naomba msaada juzi nimenunua account ya tv1 cccam niweke kwenye decoder ya strong srt 4922 lakini disconnect hai connect naitaji ujuzi kwahili
Ilisolokobwe mimi natumia best hd 4u
Ahsante njunwa wamavoko, nilijaribu hii kreceiver pia kwenye dish jingine ikawa na tatizo hilihilo, ila jamaa alikua na qsat23 alipoweka haikua inakwamakwama, nawezaje kupata software upgrade ya hii kitu
Mkuu njunwa naomba link ya kupata Application ya kutumia simu ya android kama remote kwenye q sat. Natanguliza shurani.Ni sahihi maana hapo ni mambo mawili...
Either ni Software problem ambayo ni rahisi ku fix ila Hardware problem hiyo ni issue
Wana jamii tech naomha naomba mnijulishe tafadhali.channel ipi inayoonyesha mieleka hata kama niyakulipiq
Mkuu njunwa naomba link ya kupata Application ya kutumia simu ya android kama remote kwenye q sat. Natanguliza shurani.