Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

ila best mbona foot print inaonesha ipo africa nzima iweje nilazima utumie Dish la ft8 na siyo ft6?

Ukubwa wa dish unategemea na nguvu inayotumika kurusha hiyo channel.Kwa mfano ITV inapatikana kwa ungo wa ft6 lakini UBC ambayo iko pale ilipo ITV kuipata lazima utumie ungo wa ft8 wakati mwingine mpaka ft10 wakipunguza nguvu.Kwa hiyo footprint pekee haiwezi kukupa ukubwa wa dish la kutumia.
 
Hapo eutelsat16e ipo chanel inaitwa rdv inaonesha epl hizo canal ulizopata zipo nyuzi 17e
 
Wachina wameturahisishia mambo ila upande mwingine ni tabu tupu!!nina recever ya Wiztech 8010 hd classic yani ni bonge la mtama ili nimeligundua pale nilipo jaribu kuinstalk famware nimadudu matupu!
 
Wachina wameturahisishia mambo ila upande mwingine ni tabu tupu!!nina recever ya Wiztech 8010 hd classic yani ni bonge la mtama ili nimeligundua pale nilipo jaribu kuinstalk famware nimadudu matupu!
Emu tueleweshe kitu gani special kipo humo ambacho ni unique ukilinganisha na STB nyungine na ujaribu kutushawishi tukazifaidi na sisi[emoji41]
 
Dar tunaipata kwa dish ya futi 8 na lnb kama fuji lakini jaribu hapo tanga kwa dish ya futi 6
 
Hiyo sat beam yake iko mbali so offset ndo mpango ila hata kwa ft6 utaipata sema inataka msuli na ukomavu
 
Back
Top Bottom