Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Ndio inawezekanaMkuu gibasisi,naweza kupata continental kwa dish la Azam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio inawezekanaMkuu gibasisi,naweza kupata continental kwa dish la Azam?
Ndio inawezekana
Mkuu Mwl.RCT,naomba unielekeze namna ya kupata continental katika Azam.
Natanguliza shukurani mkuu.
- https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/602541-elimu-ya-bure-kuhusu-azam-tv.html
- Kwa hiyo package TP: 11139v30000
Add hizo TP kwenye transponder list katika sat husika uliyochagua. Kisha tumia kutafutia signal na Quality.Mkuu Mwl.RCT,hizo TP natakiwa niadd sat kwanza?au naweka kwenye sat gani?
Ni ADD please ktk whatsapp 0712737402
Add hizo TP kwenye transponder list katika sat husika uliyochagua. Kisha tumia kutafutia signal na Quality.
Natumia Continental decoder baada ya satellite ya amos 5 kupotea nimeshindwa kuona chochote, nauliza je naweza kuangalia tv za nyumbani kupitia satellite nyingine? Shida yangu tu ni taarifa ya habari ya saa 2 usiku na bbc dira ya dunia saa 3 usiku.
NB: Hiki king'amzi kwenye listi ya satellite zipo nyingi zaidi ya kumi zimeorodhesha pale. Naombeni msaada wenu tafadhali.