Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Niaje Gunerz mwenzangu hope uko njema na Inshalaahh leo tutashinda na hata tukifungwa we say "IN WENGER WE TRUST".
nimebahatika kuagiza HUMAXir2020hd Decorder with TWO card slot
na nimeagiza CARD ya Aljazeera Sports na AbuDhabi Sports.
Sasa naomba maujanja ya kuweza kuitumia hii kitu TO THE MAXIMUM, kuanzia ni aina gani ya dish nifunge na LNB nagapi ni weke.
Mkuu bei yake ikoje hiyo
Niaje Gunerz mwenzangu hope uko njema na Inshalaahh leo tutashinda na hata tukifungwa we say "IN WENGER WE TRUST".
nimebahatika kuagiza HUMAXir2020hd Decorder with TWO card slot
na nimeagiza CARD ya Aljazeera Sports na AbuDhabi Sports.
Sasa naomba maujanja ya kuweza kuitumia hii kitu TO THE MAXIMUM, kuanzia ni aina gani ya dish nifunge na LNB nagapi ni weke.
Niaje Gunerz mwenzangu hope uko njema na Inshalaahh leo tutashinda na hata tukifungwa we say "IN WENGER WE TRUST".
nimebahatika kuagiza HUMAXir2020hd Decorder with TWO card slot
na nimeagiza CARD ya Aljazeera Sports na AbuDhabi Sports.
Sasa naomba maujanja ya kuweza kuitumia hii kitu TO THE MAXIMUM, kuanzia ni aina gani ya dish nifunge na LNB nagapi ni weke.
chanel hizo zinapatikana fta at 7WA magharibi ukiwa na ungo wa ku band angalau wa ft 5 na ricva hata ya mpeg2.
Kibukila,
w/end nitakutafutia latest software ya decoder yako na ntakuelekeza jinsi ya kuistall na kuweka biss keys.
offset dish 90cm halifai kuzipata?[/QUOTE
ungo wa futi 3 haufai
nitapataje software ya hizi vifaa . Avatar 2. Srt 4996x. Srt 4330 ?
nitapataje software ya hizi vifaa . Avatar 2. Srt 4996x. Srt 4330 ?
Avatar ninavyojua huwa ina expire baada ya mwaka wanakuwa na subscription fee , na pia ni ya zamani kidogo walitoa mpya avatar 3 baada ya 2 kuleta matatizo? Jaribu kumuuliza mtu aliyekuuzia hiyo kitu
Avatar ninavyojua huwa ina expire baada ya mwaka wanakuwa na subscription fee , na pia ni ya zamani kidogo walitoa mpya avatar 3 baada ya 2 kuleta matatizo? Jaribu kumuuliza mtu aliyekuuzia hiyo kitu
nimetoa china moja kwa moja sijanunua hapa
Avatar ninavyojua huwa ina expire baada ya mwaka wanakuwa na subscription fee , na pia ni ya zamani kidogo walitoa mpya avatar 3 baada ya 2 kuleta matatizo? Jaribu kumuuliza mtu aliyekuuzia hiyo kitu
nimetoa china moja kwa moja sijanunua hapa
Niliwahi kuchat na Wale manufactures wa Alibaba.com walinambia.. hawafanyi retail they are not selling to end.users ila wakanambia wanaweza kuuza sample but ina last only 6 months . Kama ulinunua moja basi walikuuzia sample ambayo baadhi wanafanya miezi.Sita wengine wanakupa miezi.mi nne .. kama unahitaji ambayo inakaa muda mrefu lazima ununue kwa.whole.seller .. nikawauliza nani.anayeuza Tanzania Sababu nimetafuta sana wakanambia hawatoi identity za wateja.wao Sababu hii product ni iligeal
Niliwahi kuchat na Wale manufactures wa Alibaba.com walinambia.. hawafanyi retail they are not selling to end.users ila wakanambia wanaweza kuuza sample but ina last only 6 months . Kama ulinunua moja basi walikuuzia sample ambayo baadhi wanafanya miezi.Sita wengine wanakupa miezi.mi nne .. kama unahitaji ambayo inakaa muda mrefu lazima ununue kwa.whole.seller .. nikawauliza nani.anayeuza Tanzania Sababu nimetafuta sana wakanambia hawatoi identity za wateja.wao Sababu hii product ni iligeal
ni sawa. Kule hizo dongle zinauzwa kama karanga nina avatar 2 kama 5 hivi nimekosa software kwa sasa natumia kama receiver ya kawaida