Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Niaje Gunerz mwenzangu hope uko njema na Inshalaahh leo tutashinda na hata tukifungwa we say "IN WENGER WE TRUST".
nimebahatika kuagiza HUMAXir2020hd Decorder with TWO card slot
na nimeagiza CARD ya Aljazeera Sports na AbuDhabi Sports.
Sasa naomba maujanja ya kuweza kuitumia hii kitu TO THE MAXIMUM, kuanzia ni aina gani ya dish nifunge na LNB nagapi ni weke.
nimebahatika kuagiza HUMAXir2020hd Decorder with TWO card slot
na nimeagiza CARD ya Aljazeera Sports na AbuDhabi Sports.
Sasa naomba maujanja ya kuweza kuitumia hii kitu TO THE MAXIMUM, kuanzia ni aina gani ya dish nifunge na LNB nagapi ni weke.