Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Opposite upande wa jeki ktk mastari uleule unaweza pata Amos5 mi sikuweka sababu nina dish jingine dogo
 
Opposite upande wa jeki ktk mastari uleule unaweza pata Amos5 mi sikuweka sababu nina dish jingine dogo

Kwa ninavyooona hiyo tv3, ipo astra 2f, 28e , kuna channels nyingine za cnn europe sky, bbc n.k, je hizo chanells zote unazipata?
 
Astra28° ukiangalia lyngsat in chanel nyingi ila frequency iliyopo hata ukiscan nimoja tu 12525 H 27000 peke yake ina chanel 28.

Hii ni kwa sababu hii satellite channel zake nyingi ni kwa ajili ya Ulaya peke yake.Ukiangalia beam zote nyingine zina coverage ya Ulaya.Ila hii ya multi tv beam yake ni ya West Africa ndio maana sio maeneo yote ya Tanzania inapatikana.
 
kaka ktk wiztech 999 unaweza kuenable bisskey kwa kubonyeza 999 ktk remorte yako.kisha ukienda kwenye menu upande wa chanel manager utakuta bisskey kama inavyoonyesha ktk picha hapo chini

Au una update kwanza kunamtu aliniambia huwa kunanjia yaku update ambayo pia nilitafuta mtandaoni sikupata.Asa kamakuna anayejua atusaidie tafadhari.
 
Au una update kwanza kunamtu aliniambia huwa kunanjia yaku update ambayo pia nilitafuta mtandaoni sikupata.Asa kamakuna anayejua atusaidie tafadhari.

ni kweli kaka kuna softwere kwa ajili ya kuapdate ila kama receiver yako ni feki ukiupdate tu itakufa hapohapo.
 
kaka ktk wiztech 999 unaweza kuenable bisskey kwa kubonyeza 999 ktk remorte yako.kisha ukienda kwenye menu upande wa chanel manager utakuta bisskey kama inavyoonyesha ktk picha hapo chini

Bilashaka unaweza kuniambia kama receiver yangu inatatizo gani. Nikiingia sehemu ya ku upgrade software kuna option mbili 1. Upgrade code
2. Upgrade user db nikiupgrade 1 inashindwa inaandika file error wakati namba 2 inadownload ila mwisho sioni kilichobadilika. Nisaidie nifanyeje?
 
Inatakiwa kufanya nini ku reply post ya mtu humu jf bila maneno ya kwenye post yake kujirudia?
 
Bilashaka unaweza kuniambia kama receiver yangu inatatizo gani. Nikiingia sehemu ya ku upgrade software kuna option mbili 1. Upgrade code
2. Upgrade user db nikiupgrade 1 inashindwa inaandika file error wakati namba 2 inadownload ila mwisho sioni kilichobadilika. Nisaidie nifanyeje?

kaka sina utaalam sana ila niliambiwa na mdau kuwa kwa ku update receaver kama huiamini usithubutu kuupdate
 
Back
Top Bottom