Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
llve man u vs chel on irib varzesh on 20°E
Salaam ndugu, naomba unifahamishe IRIB VARZESH kwa Dar inapatikana kwa dish la ukubwa gani?
bro unaweza kuipat bt lzm uw na rcv ys mpeg 4 inayoweza kupatch biss key
lnb ya ku band kizibo chake kile cheupe kimetoka je naweza kupata channel? Km naweza kupata naomba msaada wa setting za ku band kwenye receiver ya gulf star maana nilifuta sasa cjui setting zake
Mkuu Arselona ,
Mimi nipo hapa Dar na natumia receiver ya Euro star mpeg 2 lakini pia dish la euro star futi 6 na ninapata channel karibia 60 zikiwemo ITV,Capital,EATV,Channel10 na Star tv kasoro TBC.Channel zimejaa za dini ikiwemo emanuel tv,Aljazeera,CCTV9,BETV,TV Mozambique (channel zipo 3).Nilikuwa napata CTL Africa na Nollywood movie channel imepotea.
Baada ya kuwasoma nimegundua inabidi ninunue receiver ya mpeg4 HD ili nipate channel nzuri zaidi hasa za movies na soka.Asanteni kwa darsa lenu maana nimeshazungusha ungo na blind scan mara kibao bila mafanikio.
irib tvs na ptv. Lkn coni 7bu ya ww kutaka chanels zingine kwan una mbc kibao za muvi
irib tvs na ptv. Lkn coni 7bu ya ww kutaka chanels zingine kwan una mbc kibao za muvi
Kwa kweli lengo la
kuanzisha uzi huu ni kuwafanya wa2 wawe huru kuhusu kufanya maamuzi
yahusuyo masuala ya fta tvs. Nikupitia hapa 2 unaweza hasa kwa
watanzania kujadili kwa ku2mia lugha ye2 ya kiswahili.
View attachment 110491nani anaweza kufunga maujanja haya tuhabarishane wakuu
hapa c mahali pa kukopi na kupaste. Lete vi2 relevant kwa mazingira ya kwe2