Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hapa dearNa Mimi Huwa na mawazo kama yako ...daah sijui kama ntakuja kupata mtu wa namna hii
Pole sana jione wewe ni Kama wengine ni wathamani sana! Umeumbwa na Mungu! Mwanadamu ni WA thamani sana akiwa Katika Hali yeyote ile kwa kuwa alichokiumba Mungu ni safi! Kizuri! Na Cha thamani Kubwa! Mungu hakoseiMimi ni introvert halafu nina kigugumizi kikali. Tone yangu ya uongeaji haifurahishi masikioni mwa watu. Nimeachana na wanawake wengi kwa sababu ya hilo. Jambo hilo limepelekea nikose raha, nahisi nina depression au inferioty complex, so sad 😭😭. Uintrovert na kigugumizi vimenikosesha mazuri mengi sana.
Kwasababu ya uintrovert, sipati mademu wakali, napata wanawake waliochoka, walevi, wagonjwa wa akili, wazee au walemavu 😭😭, mademu wazuri wenye akili zao wananiona kama mwehu ninapowatongoza, dah!, uintrovert wangu umezidi.
Kwasababu ya uintrovert, nina vita vya kujihukumu kwamba kila ninachofanya nakosea, personal conflict.
Sawa mkuu.Pole sana jione wewe ni Kama wengine ni wathamani sana! Umeumbwa na Mungu! Mwanadamu ni WA thamani sana akiwa Katika Hali yeyote ile kwa kuwa alichokiumba Mungu ni safi! Kizuri! Na Cha thamani Kubwa! Mungu hakosei
See this guy. Wewe siyo introvert, bali wewe ni insecure. Kujiita Introvert ni kujilimit na kujipa excuse ya kutorekebisha mapungufu yako.Mimi ni introvert halafu nina kigugumizi kikali. Tone yangu ya uongeaji haifurahishi masikioni mwa watu. Nimeachana na wanawake wengi kwa sababu ya hilo. Jambo hilo limepelekea nikose raha, nahisi nina depression au inferioty complex, so sad [emoji24][emoji24]. Uintrovert na kigugumizi vimenikosesha mazuri mengi sana.
Kwasababu ya uintrovert, sipati mademu wakali, napata wanawake waliochoka, walevi, wagonjwa wa akili, wazee au walemavu [emoji24][emoji24], mademu wazuri wenye akili zao wananiona kama mwehu ninapowatongoza, dah!, uintrovert wangu umezidi.
Kwasababu ya uintrovert, nina vita vya kujihukumu kwamba kila ninachofanya nakosea, personal conflict.
Umetutetea sana mkuu , Kitu wasichokielewa hawa watu ni kwamba hii kitu ni natural born na kuibadili ni jambo gumu sana japo na sisi kuna muda tunatamani kushift kuwa extroverts kwenye baadhi ya occassions ila inakuwa ngumu sana yani.Don't
Wapuuzwe