Ulimwengu wa Roho nini? Uko wapi?

Ulimwengu wa Roho nini? Uko wapi?

streat Anthem

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
395
Reaction score
475
Kuna kitu kinanitatiza sana Wakuu?

Kuhusu hili swala la ulimwengu wa roho.
Je ulimwengu huo upo? Una utawala Kama ulimwengu huu?

Je unaweza kwenda na kurudi Huku?

Je ulimwengu huu ni wa mtu binafsi au wa wote?

Na kama ikitokea mtu amekutembelea katika himaya yako kwenye ulimwengu wa roho, je ni sahihi?

Je ni sahihi watu kwenda na kutembeleana katika ulimwengu wa roho ?


Je tulivyoumbwa tulielekezwa tuishi wapi, huu ulimwengu tuliopo au ulimwengu wa roho?

Je huo ulimwengu wa roho uko ndani ya Dunia hii au Dunia hii iko ndani ya ulimwengu wa Roho?

Kuna umuhimu wa kuufahamu ulimwengu wa roho?

Naomba kufahamishwa zaidi Maana nimesikia watu wengi wanauzungumzia.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe hata hujajua ulimwengu wa roho ni nini ila umejaza maswali ya kuhoji huo ulimwengu wa roho,sasa kama ukijakuambiwa kuwa huo ulimwengu wa roho huwa wanamaanisha nchi ya Marekani huoni kuwa hilo rundo la maswali yako yanakuwa hayana maana?
 
Sasa wewe hata hujajua ulimwengu wa roho ni nini ila umejaza maswali ya kuhoji huo ulimwengu wa roho,sasa kama ukijakuambiwa kuwa huo ulimwengu wa roho huwa wanamaanisha nchi ya Marekani huoni kuwa hilo rundo la maswali yako yanakuwa hayana maana?
Mjibu maswali yake uwezavyo mkuu, sio ngojera hautakuwa umemsaidia[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjibu maswali yake uwezavyo mkuu, sio ngojera hautakuwa umemsaidia[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe ungemjibu tu kwa sababu hayo maswali hajaniuliza mie wala hakuna niliposema ninajua majibu ya maswali yake,mie nimemsaidie kwa kumwambia kuwa huwezi kuhoji kitu usichokijua hivyo alitakiwa kuuliza ulimwengu wa roho ni nini baada ya kujua ndiyo ahoji.
 
Kuna kitu kinanitatiza sana Wakuu?

Kuhusu hili swala la ulimwengu wa roho.
Je ulimwengu huo upo? Una utawala Kama ulimwengu huu?

Je unaweza kwenda na kurudi Huku?

Je ulimwengu huu ni wa mtu binafsi au wa wote?

Na kama ikitokea mtu amekutembelea katika himaya yako kwenye ulimwengu wa roho, je ni sahihi?

Je ni sahihi watu kwenda na kutembeleana katika ulimwengu wa roho ?


Je tulivyoumbwa tulielekezwa tuishi wapi, huu ulimwengu tuliopo au ulimwengu wa roho?

Je huo ulimwengu wa roho uko ndani ya Dunia hii au Dunia hii iko ndani ya ulimwengu wa Roho?

Kuna umuhimu wa kuufahamu ulimwengu wa roho?

Naomba kufahamishwa zaidi Maana nimesikia watu wengi wanauzungumzia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali meeeengii mpaka nimeshindwa hata nikujibuje.ungekatisha swali lako

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Kuna kitu kinanitatiza sana Wakuu?

Kuhusu hili swala la ulimwengu wa roho.
Je ulimwengu huo upo? Una utawala Kama ulimwengu huu?

Je unaweza kwenda na kurudi Huku?

Je ulimwengu huu ni wa mtu binafsi au wa wote?

Na kama ikitokea mtu amekutembelea katika himaya yako kwenye ulimwengu wa roho, je ni sahihi?

Je ni sahihi watu kwenda na kutembeleana katika ulimwengu wa roho ?


Je tulivyoumbwa tulielekezwa tuishi wapi, huu ulimwengu tuliopo au ulimwengu wa roho?

Je huo ulimwengu wa roho uko ndani ya Dunia hii au Dunia hii iko ndani ya ulimwengu wa Roho?

Kuna umuhimu wa kuufahamu ulimwengu wa roho?

Naomba kufahamishwa zaidi Maana nimesikia watu wengi wanauzungumzia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swali ni gumu sana kwa wakristo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kinanitatiza sana Wakuu?

Kuhusu hili swala la ulimwengu wa roho.
Je ulimwengu huo upo? Una utawala Kama ulimwengu huu?

Je unaweza kwenda na kurudi Huku?

Je ulimwengu huu ni wa mtu binafsi au wa wote?

Na kama ikitokea mtu amekutembelea katika himaya yako kwenye ulimwengu wa roho, je ni sahihi?

Je ni sahihi watu kwenda na kutembeleana katika ulimwengu wa roho ?


Je tulivyoumbwa tulielekezwa tuishi wapi, huu ulimwengu tuliopo au ulimwengu wa roho?

Je huo ulimwengu wa roho uko ndani ya Dunia hii au Dunia hii iko ndani ya ulimwengu wa Roho?

Kuna umuhimu wa kuufahamu ulimwengu wa roho?

Naomba kufahamishwa zaidi Maana nimesikia watu wengi wanauzungumzia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Unamuuliza nani maswali mengi hivi?

Si usubiri kwanza ujuzwe kuwa ulimwengu wa roho ni nini?
 
Kuna kitu kinanitatiza sana Wakuu?

Kuhusu hili swala la ulimwengu wa roho.
Je ulimwengu huo upo? Una utawala Kama ulimwengu huu?

Je unaweza kwenda na kurudi Huku?

Je ulimwengu huu ni wa mtu binafsi au wa wote?

Na kama ikitokea mtu amekutembelea katika himaya yako kwenye ulimwengu wa roho, je ni sahihi?

Je ni sahihi watu kwenda na kutembeleana katika ulimwengu wa roho ?


Je tulivyoumbwa tulielekezwa tuishi wapi, huu ulimwengu tuliopo au ulimwengu wa roho?

Je huo ulimwengu wa roho uko ndani ya Dunia hii au Dunia hii iko ndani ya ulimwengu wa Roho?

Kuna umuhimu wa kuufahamu ulimwengu wa roho?

Naomba kufahamishwa zaidi Maana nimesikia watu wengi wanauzungumzia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hujajibiwa,

Je unaijua roho,
Je unajua roho inafanya kazi gani
Je ipo sehem gan ya mwili,
He ushawah kuiona .

Ukijibu hapo ,utakua na uwanja mzuri Sana wa kuelewa maswali yako
 
Mkuu kama umewahi kuota na katika kuota hko ukawa unaona kabs kuna kitu Unafanya ila c katika hali ya ulimwengu wa kawaida bs tambua huo ndo ulimwengu wa roho.
@>Ila kumbuka ziko limwengu za roho kama mbili, moja ulimwengu wa roho wachafu na mbili ulimwengu wa Roho watakatifu. Xx utatambuaje kuwa ww uko limwengu upi ni simple 2 kama unatabia ya kuota unakabwa, una sex, unakula, unakimbizwa, unapigana, unapaa, unaruka mito na mengineyo Ujue ww Roho yako Iko ulimwengu wa pepo wachafu
>kumbuka binadam anaishi limwengu mbili kwa wakati mmoja, binadam huyu anaishi dunian kupitia mwili na binadam huyu huyu anaishi ulimwengu usionekana au ulimwengu wa roho kwa kupitia ROHO yake.
>Ni mambo mengi ya kueleza ila kama ww ni mwelewa utakuwa japo nimekufumbua macho.
>Mwisho ulimwengu wa roho ni ulimwengu kamili ambao watu wa aina mbili huishi, moja wacha Mungu kweli ndo huishi katika ulimwengu wa roho mtakatifu, mbili watenda dhambi ambao nao wana ulimwengu wao wa waasi.
>Najua huamini ila utaamini zaidi cku ukifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wadini mmeshindwa kumjibu mtu huyu? tuwaeleweje na hizo imani zenu..?
 
Kuna kitu kinanitatiza sana Wakuu?

Kuhusu hili swala la ulimwengu wa roho.
Je ulimwengu huo upo? Una utawala Kama ulimwengu huu?

Je unaweza kwenda na kurudi Huku?

Je ulimwengu huu ni wa mtu binafsi au wa wote?

Na kama ikitokea mtu amekutembelea katika himaya yako kwenye ulimwengu wa roho, je ni sahihi?

Je ni sahihi watu kwenda na kutembeleana katika ulimwengu wa roho ?


Je tulivyoumbwa tulielekezwa tuishi wapi, huu ulimwengu tuliopo au ulimwengu wa roho?

Je huo ulimwengu wa roho uko ndani ya Dunia hii au Dunia hii iko ndani ya ulimwengu wa Roho?

Kuna umuhimu wa kuufahamu ulimwengu wa roho?

Naomba kufahamishwa zaidi Maana nimesikia watu wengi wanauzungumzia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimwengu wa roho ndio sorce wa kila kitu unachokiona hapa duniani ulimwengu wa roho hauonekani kwa macho ya nyama ulimwengu wa roho kila kitu kinacho patikana huko ni roho ukiona gari huko ujue ni roho imegeuka kuwa gari umbali kutoka ulimwengu wa mwili hadi ulimwengu wa roho ni zero distance pia katika ulimwengu wa roho kuna sheria mbili tu zina tumika huko tena ulimwengu wa roho umegawanyika katika sehemu kuu mbili ulimwengu wa nuru na ulimwengu wa giza hivyo unaweza jikuta umetumbukia katika sehemu moja wapo nk ni raha sana ukizitumia sheria hizo hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si vyema kusema hili swali ni gumu. Ila kabla ya kulijibu ni lazima wakati mwingine udadavue kujua kiini cha muuliza swali. Kitu cha kwanza msingi ni kuelewa maana na kwanini kuna ulimwengu wa Roho. Maswali mengine yote yatajijibu pindi mtu akielewa maana ya ulimwengu wa roho.

Kwa vile mimi ni mkiristo na kwa uelewa wa imani yangu napenda kusaidia kujibu maswali hayo katika hali yangu ya ukristo. Wote tunakubaliana kuwa kila mmoja wetu anayo roho (nafsi hai) ambayo iko ndani yetu. Nafsi hii imeshikana na mwili na vinategemeana. Na ndiyo maana wakati mtu anafariki nafsi ujitengana na mwili na ndipo mauti yanapomkuta mtu. Swali la kujiuliza je hiyo nafsi inayomtoka inakwenda wapi?

Kwenye kitabu cha Mwanzo1:26 biblia inasema (Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi). Katika mstari huu unatupa picha kuwa Mungu hapo mwanzo alimuumba mwanadamu kwa mfano wake na kwa sura yake, na kwa vile Mungu ni Roho hii ina maana hata sisi ni Roho kama alivyo Mungu.

Kama ambavyo nafsi iliyomo ndani yetu isivyoonekana lakini inatuongoza ndivyo Mungu wetu alivyo pia hatuwezi kumwona kwa macho ya nyama. Kuna wakati roho (nafsi) iliyopo ndani yetu inaongea, mfano kuna wakati unaweza kuwa umekaa lakini ghafla ukasikia sauti inaongea ndani ya moyo wako, sauti usiyojua imetoka wapi lakini inayokupa wakati mwingine majibu ya maswali yanayozunguka ndani ya kichwa chako.

Au kuna wakati unaweza kuwa unatembea wakati hauna hili na hili ghafla unasikia kama sauti inaongea ndani ya moyo wako unajiuliza kunani na wakati mwingine unaweza kusimama na kucheka tu mwenyewe ukabaki unajiuliza ulikuwa unaongea na nani? Jua kuna ulimwengu nje ya ulimwengu huu tunaouona kwa macho.

Mwanzo 2:7 (Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.) Ukiangalia huu mstari utangundua Mungu alitaka kiwepo kiumbe kinachoonekana kitakacho vitunza vitu alivyokuwa ameviumba ulivyokuwa vinaonekana katika ulimwengu wa macho ya nyama (haya macho tuliyo nayo). Mwanadamu aliyekuwa ameumbwa kwa mfano wake alikuwa katika roho hivyo asingeonekana kwa viumbe vyenye nyama. Kwa sababu hiyo ndiyo maana ilibidi Mungu amtengeneze mtu kutoka katika mavumbi (udongo) ambaye ataonekana katika ulimwengu wa nyama kisha akaipulizia ile Roho (mfano wake na sura yake) ikamwingia mtu kisha huyo mtu (udongo) ukawa nafsi hai. Kwa maana Roho kutoka kwa Mungu ikaungana na mwili vikawa kitu kimoja chenye uhai.

Sasa narudi kwenye swali lako ulimwengu wa Roho ni nini? na je Upo? Ulimwengue wa Roho ni maisha nje na mfumo wetu huu ambao tunaishi katika hali ya mwili na nyama, maisha yale ambayo macho yetu yanauona nje ya hapo ni mfumo mwingine ambao roho inaishi na huu ndo ulimwengu wa Roho. Ni kweli ulimwengu wa roho upo na ndipo yalipo makazi ya kila kiumbe kilichoubwa kuwa roho.

Ubarikiwe kama maelezo haya yatasaidia kujibu baadhi ya maswali yako.
 
Si vyema kusema hili swali ni gumu. Ila kabla ya kulijibu ni lazima wakati mwingine udadavue kujua kiini cha muuliza swali. Kitu cha kwanza msingi ni kuelewa maana na kwanini kuna ulimwengu wa Roho. Maswali mengine yote yatajijibu pindi mtu akielewa maana ya ulimwengu wa roho.

Kwa vile mimi ni mkiristo na kwa uelewa wa imani yangu napenda kusaidia kujibu maswali hayo katika hali yangu ya ukristo. Wote tunakubaliana kuwa kila mmoja wetu anayo roho (nafsi hai) ambayo iko ndani yetu. Nafsi hii imeshikana na mwili na vinategemeana. Na ndiyo maana wakati mtu anafariki nafsi ujitengana na mwili na ndipo mauti yanapomkuta mtu. Swali la kujiuliza je hiyo nafsi inayomtoka inakwenda wapi?

Kwenye kitabu cha Mwanzo1:26 biblia inasema (Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi). Katika mstari huu unatupa picha kuwa Mungu hapo mwanzo alimuumba mwanadamu kwa mfano wake na kwa sura yake, na kwa vile Mungu ni Roho hii ina maana hata sisi ni Roho kama alivyo Mungu.

Kama ambavyo nafsi iliyomo ndani yetu isivyoonekana lakini inatuongoza ndivyo Mungu wetu alivyo pia hatuwezi kumwona kwa macho ya nyama. Kuna wakati roho (nafsi) iliyopo ndani yetu inaongea, mfano kuna wakati unaweza kuwa umekaa lakini ghafla ukasikia sauti inaongea ndani ya moyo wako, sauti usiyojua imetoka wapi lakini inayokupa wakati mwingine majibu ya maswali yanayozunguka ndani ya kichwa chako.

Au kuna wakati unaweza kuwa unatembea wakati hauna hili na hili ghafla unasikia kama sauti inaongea ndani ya moyo wako unajiuliza kunani na wakati mwingine unaweza kusimama na kucheka tu mwenyewe ukabaki unajiuliza ulikuwa unaongea na nani? Jua kuna ulimwengu nje ya ulimwengu huu tunaouona kwa macho.

Mwanzo 2:7 (Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.) Ukiangalia huu mstari utangundua Mungu alitaka kiwepo kiumbe kinachoonekana kitakacho vitunza vitu alivyokuwa ameviumba ulivyokuwa vinaonekana katika ulimwengu wa macho ya nyama (haya macho tuliyo nayo). Mwanadamu aliyekuwa ameumbwa kwa mfano wake alikuwa katika roho hivyo asingeonekana kwa viumbe vyenye nyama. Kwa sababu hiyo ndiyo maana ilibidi Mungu amtengeneze mtu kutoka katika mavumbi (udongo) ambaye ataonekana katika ulimwengu wa nyama kisha akaipulizia ile Roho (mfano wake na sura yake) ikamwingia mtu kisha huyo mtu (udongo) ukawa nafsi hai. Kwa maana Roho kutoka kwa Mungu ikaungana na mwili vikawa kitu kimoja chenye uhai.

Sasa narudi kwenye swali lako ulimwengu wa Roho ni nini? na je Upo? Ulimwengue wa Roho ni maisha nje na mfumo wetu huu ambao tunaishi katika hali ya mwili na nyama, maisha yale ambayo macho yetu yanauona nje ya hapo ni mfumo mwingine ambao roho inaishi na huu ndo ulimwengu wa Roho. Ni kweli ulimwengu wa roho upo na ndipo yalipo makazi ya kila kiumbe kilichoubwa kuwa roho.

Ubarikiwe kama maelezo haya yatasaidia kujibu baadhi ya maswali yako.
Nafsi b
Na roho nivitu viwili tofauti ndugu yangu umechanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom