Ulinganisho wa Ofisi za Kaunti ya Machakos (Ksh350 milioni) dhidi ya Ikulu mpya ya Tanzania ya (Ksh175 milioni)

Hivi kwa nini walirudia kujenga Dodoma kama Magogoni??
 
Sijaona ubaya wa hili jengo.
Ni zuri na usikute imara kuliko la Kenya.
Ila Kenya wapigaji unajengaje jengo la kawaida kama hilo kwa pesa nyingi hivyo??
 
Utofauti upo ni hivi

Makao ya gavana ni Tsh 300 milion the rest zilienda owa wapigaji means gigantic corrupt

Wakati ikulu ilijengewa kwa pesa halali hakuna kupiga apo .


Au nimekosea

Ni kweli kabisa kaka, wapigaji unaweza kuta wana 50%+ ya hiyo amount waliotaja hapo. Sasa wanajaribu kuilinganisha na ikulu ya Chamwino ili wawaghiribu akili walalahoi wa kenya. Wajione wao wako juu. Teh teh teh.

Ona nyingine hii walivyopigwa.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…