Hivi ni ugaidi au uisilamu? Nadhani dunia ina tatizo la uisilamu
Viongozi wa dini ya Kikristo, mfano Mchungaji Mtikila na Padre Kimaro (Kesi ya Ubakaji mtoto wa Kanisa) hawakuwa na wafuasi wenye vurugu kama wafuasi wa kiislamu ndo maana hata kesi zao zinaposomwa basi watakaojitokeza mahakamani wanakuwa watu makini ambao wanajua wanachokifuata na si kufuata mkumbo kama hao wanaopekuliwaMahakama ya Kisutu kumezuka mtindo unaoashiria ubaguzi kwa kesi zinazowahusu wafuasi ama viongozi wa dini ya Kiislam.Siku za karibuni, tumeshuhudia matumizi ya gharama kubwa zisizo na sababu kwa kesi za waislam kama vile ya Sheikh Ponda na Watuhumiwa wa Fujo Mbagala.
Siku za kesi husika, watu wote wanaongia Mahakamani Kusutu wanakaguliwa kwa kutumiwa kamera za CCTV, pia ulinzi wa askari wenye magwanda na makachero unakuwa mkubwa.
Hali ilikuwa tofauti wakati wa kuendesha kesi za viongozi wa dini ya Kikristo, mfano Mchungaji Mtikila na Padre Kimaro (Kesi ya Ubakaji mtoto wa Kanisa).
Hali hii isifumbiwe macho ipo siku itakuja leta machafuko nchini mwetu kwa uonevu wa waislam katika vyombo vya dola ambayo vinagharamiwa na kodi ya wananchi wote. Ikumbukwe kabla ya hukumu wote huwa ni watuhumiwa, lakini nchini mwetu watuhumiwa wa Kiislam wanachukuliwa tofauti. Twaomba katiba mpya itanbue mahakama ya kadhi, ili tuepukane na uonevu unaombatana na MOU
Mahakama ya Kisutu kumezuka mtindo unaoashiria ubaguzi kwa kesi zinazowahusu wafuasi ama viongozi wa dini ya Kiislam.Siku za karibuni, tumeshuhudia matumizi ya gharama kubwa zisizo na sababu kwa kesi za waislam kama vile ya Sheikh Ponda na Watuhumiwa wa Fujo Mbagala.
Siku za kesi husika, watu wote wanaongia Mahakamani Kusutu wanakaguliwa kwa kutumiwa kamera za CCTV, pia ulinzi wa askari wenye magwanda na makachero unakuwa mkubwa.
Hali ilikuwa tofauti wakati wa kuendesha kesi za viongozi wa dini ya Kikristo, mfano Mchungaji Mtikila na Padre Kimaro (Kesi ya Ubakaji mtoto wa Kanisa).
Hali hii isifumbiwe macho ipo siku itakuja leta machafuko nchini mwetu kwa uonevu wa waislam katika vyombo vya dola ambayo vinagharamiwa na kodi ya wananchi wote. Ikumbukwe kabla ya hukumu wote huwa ni watuhumiwa, lakini nchini mwetu watuhumiwa wa Kiislam wanachukuliwa tofauti. Twaomba katiba mpya itanbue mahakama ya kadhi, ili tuepukane na uonevu unaombatana na MOU
Mahakama ya Kisutu kumezuka mtindo unaoashiria ubaguzi kwa kesi zinazowahusu wafuasi ama viongozi wa dini ya Kiislam.Siku za karibuni, tumeshuhudia matumizi ya gharama kubwa zisizo na sababu kwa kesi za waislam kama vile ya Sheikh Ponda na Watuhumiwa wa Fujo Mbagala.
Siku za kesi husika, watu wote wanaongia Mahakamani Kusutu wanakaguliwa kwa kutumiwa kamera za CCTV, pia ulinzi wa askari wenye magwanda na makachero unakuwa mkubwa.
Hali ilikuwa tofauti wakati wa kuendesha kesi za viongozi wa dini ya Kikristo, mfano Mchungaji Mtikila na Padre Kimaro (Kesi ya Ubakaji mtoto wa Kanisa).
Hali hii isifumbiwe macho ipo siku itakuja leta machafuko nchini mwetu kwa uonevu wa waislam katika vyombo vya dola ambayo vinagharamiwa na kodi ya wananchi wote. Ikumbukwe kabla ya hukumu wote huwa ni watuhumiwa, lakini nchini mwetu watuhumiwa wa Kiislam wanachukuliwa tofauti. Twaomba katiba mpya itanbue mahakama ya kadhi, ili tuepukane na uonevu unaombatana na MOU
Dunia haita tatizo na uislamu.Frankly speaking,there is strong correlation between terrorism and muslim religion!Hivi ni ugaidi au uisilamu? Nadhani dunia ina tatizo la uisilamu
Wachungaji wa DECI hadi hii leo hawapati kibano wawapo Kisutu pamoja na kuwatia umaskini raia wengi
Duh! Kweli mnaonewa, hata ukiandika kitu cha maana keyboard inakibadili na kuwa pumba.
Bwana 'Muislam' unamaanisha nini kusema mtu anakaguliwa na CCTV? Closed Circuit TeleVision ni kifaa cha ukaguzi? Anyway, tuondoke huko, sitegemei hayo uwe umefundishwa madrasa. Turudi kwenye pumba zako:
Nani alikwambia kuwa kesi zinaendeshwa kwa ulinganifu wa dini na si circumstances? Hivi nyinyi watu mbona mnapenda kujidhalilisha? Kila anayejiita muislam na kuleta mada hapa anaongea ujinga, au wapagani nyie mmetumwa kuchafua dini ya watu?
Sikiliza nikwambie, Padre Kimaro na Mchungaji Mtikila hawakuwa na kesi zenye kuambatana na matishio ya maandamano wala fujo, je kulikuwa na umuhimu gani wa kuwekewa ulinzi mkali? Hiyo moja, mbili, unadhani ule ulinzi ni kwa ajili ya nani zaidi ya mtuhumiwa mwenyewe?
Ficha ujinga wako, acha kujidhalilisha. Sio kila kitu ukilinganishe kidinidini. Mbona Mh. Freeman Mbowe alipelekwa Arusha na makomandoo wa Jeshi, naye pia ni mfilisti? Mbona hukulisema hilo? Sijui mkoje, na kudhihirisha mlivyo duni kichwani, angalia nani kakupa like
Mahakama ya kulazimishana ibada mmesharuhusiwa kuanzisha sasa we unaomba nini tena?
Jamaa anaewakagua ndio amekaa ki suspect suspect kuliko wanaokaguliwa. Nchi za watu kamwe huwezi kuona jitu linalowakagua ndio limevaa kapelo na jinzi chafuuu na miviatu ya kuendea mwezini!
Mahakama ya Kisutu kumezuka mtindo unaoashiria ubaguzi kwa kesi zinazowahusu wafuasi ama viongozi wa dini ya Kiislam.Siku za karibuni, tumeshuhudia matumizi ya gharama kubwa zisizo na sababu kwa kesi za waislam kama vile ya Sheikh Ponda na Watuhumiwa wa Fujo Mbagala.
Siku za kesi husika, watu wote wanaongia Mahakamani Kusutu wanakaguliwa kwa kutumiwa kamera za CCTV, pia ulinzi wa askari wenye magwanda na makachero unakuwa mkubwa.
Hali ilikuwa tofauti wakati wa kuendesha kesi za viongozi wa dini ya Kikristo, mfano Mchungaji Mtikila na Padre Kimaro (Kesi ya Ubakaji mtoto wa Kanisa).
Hali hii isifumbiwe macho ipo siku itakuja leta machafuko nchini mwetu kwa uonevu wa waislam katika vyombo vya dola ambayo vinagharamiwa na kodi ya wananchi wote. Ikumbukwe kabla ya hukumu wote huwa ni watuhumiwa, lakini nchini mwetu watuhumiwa wa Kiislam wanachukuliwa tofauti. Twaomba katiba mpya itanbue mahakama ya kadhi, ili tuepukane na uonevu unaombatana na MOU