Ulinzi wa penzi.......

Khaaa!

Hapo kwenye bold haiwezi kutokea katika dunia hii!
 
pesa ni sabuni ya roho bhana,fanya vyooote lakin kama huna talanta mfukoni mambo hayaendi katika ilo penzi,nawasiisha
 

hapa nakubaliana na ww mia. Kama anataka kukusaliti atakusaliti tu. Haijalishi yupo wapi,na nani muda gani n.k
 
Penzi la kweli halipo utegemeana na nyakati ukaribu na mazingira....... ulinzi pekee wa penzi ni ukaribu wenu tofauti na hapo tegemea Dhoruba kali
 
Shida imeletwa na usasa/kukua lugha!? kuwa wajibu(amri) ktk ndoa umegeuzwa kuwa ni favor(ulinzi?)...ndugu zangu mke kumhudumia mme ni wajibu na atahesabiwa haki ktk hilo..kadhalika mme kumtunza mke ni wajibu naye atahesabiwa...wajibu umegeuka kulinda sasa...wajibu (amri) ni torati iliyoandikwa ktk mioyo yetu bila kujali unaamini nini..usipotunza mke/me,watoto tayari umehukumiwa.. ndo hizo tunazosikia laana ya mke/me/wtt haiangalii jinsia, dini au rangi ni kichapo tu. Tunachanganya ulinzi na wajibu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…