Ulinzi wa Rais Samia Marekani upoje?

Manji ilikuaje??

Ilinipita hiyo bro.
 
Kila nchi Ina protocol zake na namna ya kuhakikisha usalama wa viongozi wakubwa...
 
Mange amemaliza ugomvi wake na CCM
 
Hata mm sijapendezwa kabisa na huyo dada mchafu chafu Mange kumsogelea Mh. Rais wetu Samia.. Mange ni mchafu chafu wa tabia na matendo. Sijapenda kabisa.
Kwahio hangaya yeye ni msafi? Acha ujuaji hangaya mwenyewe ni mshenzi tuu kwann anakandamiza haki za watu kwakutumia policcm? Sisiem wote ni wa hovyo hawajali maendeleo yetu Mungu awadhibu vikali
 
Kiukweli ili ni kosa kubwa sana, japo mm sio mtaalam sana wa haya mambo ila kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba rais anapokua kwenye hadhara ndio kipindi kigumu zaid kiulinzi sasa mtu anapata wapi mda wa kupiga selfie jaman! Akuna professionalism APA na MTU akitaka kufanya yake anaweza kufanya kwa walinzi wa namna hii, na haya ni miongoni mwa madhara ya tiss kuendeshwa kisiasa wakajaza uvccm wa kutosha mwisho wa cku weled amna na wakitongoza mdada cku izi wanamwambia mm usalama wa taifa akibisha na kitambulisho wanatoa ili tu kupata papuchi! Hii ndio tiss ya sasa kwahyo usishangae kuona vitu km ivyo lkn madhara yake ni makubwa sana awajui tu maana tiss ya zaman ya wakina mahiga iliyozima mapinduzi karibia matatu sio tiss hii ya diwani amna kitu kabisa, nchi ilifika pabaya sana hii mama ana kazi ngumu ya kuiunda upya mzee yule angetufikisha hatua nchi ingenock hii makada wa chama walizidi kila sehemu na tiss inclusively.
 
Ulinzi wa sasa utakuwa na dosari mahali mbona wakati wa Hayati huu uzembe hatukuwahi kuhushudia
 
Naona dada Vero kitumbua kitaingia mchanga siku si nyingi.
 
Nashangaa hata mimi wale jamaa hawapo wakati huku kwetu tandahinba hata gobore hatuna ila huwa wanakuja na mashine zao zile wamemzunguka mama.
Inawezekana wewe usiwe na GOBOLE lakini adui akawa alishafika siku nyingi kwenye kijiji chenu na akawa na SILAHA za moto bila nyinyi wenyewe kujua, ko hata kama rais anafanya ziara kijiji fulani TAHADHARI ni muhimu!
 
Shida ni ulinzi?? Au Shida ni Mange??
 
Huwez jua labda jamaa kaelewa kazi katumia mbinu za medan kwa kujifanya anapiga picha lkn ataandika namb ya simu mdada akiiona atajiongeza kuwa mwamba anahitaj huduma
 
Huijui protocol Mkuu, kafanya kosa saana.
 
N
Nasubiri mama arudi na mimi nikapige nae selfie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…