Kiukweli ili ni kosa kubwa sana, japo mm sio mtaalam sana wa haya mambo ila kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba rais anapokua kwenye hadhara ndio kipindi kigumu zaid kiulinzi sasa mtu anapata wapi mda wa kupiga selfie jaman! Akuna professionalism APA na MTU akitaka kufanya yake anaweza kufanya kwa walinzi wa namna hii, na haya ni miongoni mwa madhara ya tiss kuendeshwa kisiasa wakajaza uvccm wa kutosha mwisho wa cku weled amna na wakitongoza mdada cku izi wanamwambia mm usalama wa taifa akibisha na kitambulisho wanatoa ili tu kupata papuchi! Hii ndio tiss ya sasa kwahyo usishangae kuona vitu km ivyo lkn madhara yake ni makubwa sana awajui tu maana tiss ya zaman ya wakina mahiga iliyozima mapinduzi karibia matatu sio tiss hii ya diwani amna kitu kabisa, nchi ilifika pabaya sana hii mama ana kazi ngumu ya kuiunda upya mzee yule angetufikisha hatua nchi ingenock hii makada wa chama walizidi kila sehemu na tiss inclusively.