Ulinzi wa Rais Samia umebadilishwa?

Ulinzi wa Rais Samia umebadilishwa?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Tangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina.

Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.

Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.

Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?
005156A4-6249-4FD8-88BA-978A15AE9A80.jpeg
64F348AB-90FB-4376-ACF8-C39C0CE74807.jpeg
 
Tangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina.

Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.

Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.

Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?View attachment 2317044View attachment 2317045
Alaf walinzi wenye hizi sare kipindi cha magu watu walisema wanatoka nje ya nchi 😀😀
Kweli watu wanapigana na mtu ambaye hawamjui
 
Katiba mbele Mungu nyuma.
😂uwe kwnye mfumo usiomtaka Mungu then umlete Mungu.
Mungu ana Serikali yake na yeye.
 
Back
Top Bottom