Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Tangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina.
Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.
Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.
Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?
Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.
Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.
Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?