Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Alaf walinzi wenye hizi sare kipindi cha magu watu walisema wanatoka nje ya nchi 😀😀Tangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina.
Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.
Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.
Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?View attachment 2317044View attachment 2317045
Papa mwenyewe analindwa kishenzi.Hivi binadamu anaweza kukuhakikishia ulinzi 100%?
Weka ulinzi wa kawaida mengine mwachie Mungu.
🙏👍🤲✍️Hivi binadamu anaweza kukuhakikishia ulinzi 100%?
Weka ulinzi wa kawaida mengine mwachie Mungu.
Ni mdude gani huo tuelimisheni tusiojuaZamani tulizoea kuona jammer car
Marekani kwenyewe ulinzi wa rais siyo mchezo,hata Vatican kwa papa ulinzi ni wa hatari,Mungu kakupa akili,itumie,usiacheache nafasi ya adui kukumaliza,eti namuachia Mungu.Hivi binadamu anaweza kukuhakikishia ulinzi 100%?
Weka ulinzi wa kawaida mengine mwachie Mungu.
Ayatollah mwenyewe analindwaPapa mwenyewe analindwa kishenzi.
Takbiiiir Takbiiiir TakbiiiirAyatollah mwenyewe analindwa
Yesu alilindwa ?Papa mwenyewe analindwa kishenzi.
Hivi binadamu anaweza kukuhakikishia ulinzi 100%?
Weka ulinzi wa kawaida mengine mwachie Mungu.
Yesu alilindwa ?
Saint Peter alilindwa ?
Ndio.Yesu alilindwa ?
Saint Peter alilindwa ?
Walikua na cheo gani hao?Yesu alilindwa ?
Saint Peter alilindwa ?